jingalao JF-Expert Member Oct 12, 2011 35,053 28,245 Dec 8, 2011 #1 veta tawi la mwanza imetangaza kozi hii mpya kuanzia januari 2 mwakani.
BONGOLALA JF-Expert Member Sep 14, 2009 16,507 11,883 Dec 8, 2011 #2 kozi haina future!kwa nchi zilioendelea ma bus hayana konda hata hapa tz malori kama ya bp,total,coca cola hayana konda
kozi haina future!kwa nchi zilioendelea ma bus hayana konda hata hapa tz malori kama ya bp,total,coca cola hayana konda
jingalao JF-Expert Member Oct 12, 2011 35,053 28,245 Dec 8, 2011 Thread starter #3 BONGOLALA said: kozi haina future!kwa nchi zilioendelea ma bus hayana konda hata hapa tz malori kama ya bp,total,coca cola hayana konda Click to expand... entry criteria ni lazima uwe kondakta,ni kama kozi ya kujiendeleza kielmu kazini
BONGOLALA said: kozi haina future!kwa nchi zilioendelea ma bus hayana konda hata hapa tz malori kama ya bp,total,coca cola hayana konda Click to expand... entry criteria ni lazima uwe kondakta,ni kama kozi ya kujiendeleza kielmu kazini