IslamTZ
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 309
- 182
Kamanda Kova anasema Cuf "hawana sababu ya kuandamana".
Hii ni sababau zaidi ya kudai katiba mpya. Kova (Kamanda), anakuwaje na madaraka ya kuamua watu wana sababu au hawana sababu ya kuandamana? au Maandamano ni halali au sio halali? Ni mahakama pekee yenye uwezo wa kuamua hilo, hata raisi hawezi kuamua hilo katika utawala wa sheria.
Halafu Kova anasema anajua eti maandamano ya Cuf yalikuwa na lengo la vurugu, Cuf wamesema maandamano ni ya amani? Yeye alijuaje kuwa yalikusudia vurugu? ameoteshwa?
Hii ni sababau zaidi ya kudai katiba mpya. Kova (Kamanda), anakuwaje na madaraka ya kuamua watu wana sababu au hawana sababu ya kuandamana? au Maandamano ni halali au sio halali? Ni mahakama pekee yenye uwezo wa kuamua hilo, hata raisi hawezi kuamua hilo katika utawala wa sheria.
Halafu Kova anasema anajua eti maandamano ya Cuf yalikuwa na lengo la vurugu, Cuf wamesema maandamano ni ya amani? Yeye alijuaje kuwa yalikusudia vurugu? ameoteshwa?