Kova ni mnafiki hawezi kumkamata ponda,huyo baba yao Vasco hawezi sembuse Kova,hawa jamaa ni DHAIFU!
wamekuonesha kadi zao ukajua wako CDM?
yaani upuuzi 2!ss cdm inaingiaje hapa?who is ponda?dawa yake km yule wa kenya walivyomfanya!....ss wakristo tuseme imetosha!..na nafurahi coz hata huko ccm rais ajae ni zamu ya mkristo
Kwa usemi huu unataka kutuaminisha kuwa ccm ni ya mlengo wa kiislamu?
Ukienda pale jirani na hospitali ya Mwananyamala, kuna Msikiti na jirani yake kuna Kanisa. Ukiingia kanisani utakuta shughuli zinazoendelea ni watu wanajifunza kushona, wengine Useremala na wengine Computer. Ule msikiti wa jirani ukiingia muda karibu wote wako busy na mazoezi ya karate! Sasa unataka hawa watu wawe sawa kwenye soko la ajira! Hawa watu wata-compete vipi kwenye soko la ajira?
Uswe,
JF sio mali ya Chadema kwa hiyo usitake kupangia watu vitu vya kuandika, kwani wewe kuwa Chadema ni sifa.
Mie nina miaka minne JF tunajuana kwa michango yetu humu JF, hawa hawa wanaowaponda Waislam hawa hawa ndio unawakuta wanamsifia Dr Slaa na Mchungaji Msigwa.
Kwa usemi huu unataka kutuaminisha Chadema ni ya mlengo wa Kikisto?
Mkuu acha udini na ushabiki wa vyama.. Walichofanya ndugu zako Waisilamu hakifai kuungwa mkono na chama chochote..Na kama CCM hawatakemea hili mtakuja kuona Tanzania tunayoitengeneza. Kwa akili ya kawaida reaction waliyofanya siyo nzuri wala haina busara ya kutetea dini. Mnajibebea laana tu kaka!!Kila siku najiuliza kwa nini linapokuja suala la Waislam Pro-Chadema JF ndio wanakuwa wa kwanza kuwashambulia Waislam halafu hawa hawa wanataka Waislam waiunge mkono Chadema...hiyo itakuwa ni sawa sawa umkabidhi Nguruwe akuchomee mishikaki.
hakuna anayeuchukia uislam bro! Waislam ndio wanaoharibu maana ya uislam. Inferiority complex ni tatizo sana. Wapelekeni vijana wenu wakapate elim dunia. Haya tunayoyaona ni madhara ya elim ahera na indoctrination
Kila siku najiuliza kwa nini linapokuja suala la Waislam Pro-Chadema JF ndio wanakuwa wa kwanza kuwashambulia Waislam halafu hawa hawa wanataka Waislam waiunge mkono Chadema...hiyo itakuwa ni sawa sawa umkabidhi Nguruwe akuchomee mishikaki.
Kwa usemi huu unataka kutuaminisha Chadema ni ya mlengo wa Kikisto?
Miaka 4 lakini michango yako ya KIPUMBAVU, KITOTO NA KIJINGA
Nyie ndo mnaleta mpasuko katika chama chetu ccm
kumkamata ponda ni sawa na kutupia njiti ya kibiriti kwenye petrol, ponda ndiye kiongozi wetu tutakufa nae.