Kova kweli una mafunzo ya kazi yako? unatuambia sisi kuwa utamkamata Ponda muda sio mrefu sisi tufanye nini!!!unamuogopa Ponda! unahitaji msaada wetu au unataka kutuzuga?peleka upuuzi wako huko umeniudhi sana ebo.
kumkamata ponda ni sawa na kutupia njiti ya kibiriti kwenye petrol, ponda ndiye kiongozi wetu tutakufa nae.
kumkamata ponda ni sawa na kutupia njiti ya kibiriti kwenye petrol, ponda ndiye kiongozi wetu tutakufa nae.
sasa mkuu kuna uhalali wa kuongozwa na mtu ambae hata darasa moja hajaliona na pia anacheza karate msikitini
Utakufa peke yako, Ponda atakamatwa na kuachiwa. Atahudhuria mazishi yako, na wajanja watarithi mkeo/mmeokumkamata ponda ni sawa na kutupia njiti ya kibiriti kwenye petrol, ponda ndiye kiongozi wetu tutakufa nae.
Heri yako mwaya kwani umefunguka na tumekusikia na ukereketwa wako wa kuchukia waislamu na uislamu wao.
kumkamata ponda ni sawa na kutupia njiti ya kibiriti kwenye petrol, ponda ndiye kiongozi wetu tutakufa nae.
Kila siku najiuliza kwa nini linapokuja suala la Waislam Pro-Chadema JF ndio wanakuwa wa kwanza kuwashambulia Waislam halafu hawa hawa wanataka Waislam waiunge mkono Chadema...hiyo itakuwa ni sawa sawa umkabidhi Nguruwe akuchomee mishikaki.
Kila siku najiuliza kwa nini linapokuja suala la Waislam Pro-Chadema JF ndio wanakuwa wa kwanza kuwashambulia Waislam halafu hawa hawa wanataka Waislam waiunge mkono Chadema...hiyo itakuwa ni sawa sawa umkabidhi Nguruwe akuchomee mishikaki.
kumkamata ponda ni sawa na kutupia njiti ya kibiriti kwenye petrol, ponda ndiye kiongozi wetu tutakufa nae.
Hapa tumesema mara nyingi udini ni sumu lakini chama tawala kimefanya ndiyo mtaji. Tumewaambia Radio Imaan inahubiri chuki lakini badala ya kuwafungia, serikali inafungia Mwanahalisi linalosema ukweli. Kwa sasa nasikitika kusema ni too late.
Napongeza tu wakristo kwa uvumilivu wao. Lakini serikali ijue kila kitu kina mwisho. Huu uvumilivu ukifika mwisho serikali haitakuwa na la kufanya tena.
Kila siku najiuliza kwa nini linapokuja suala la Waislam Pro-Chadema JF ndio wanakuwa wa kwanza kuwashambulia Waislam halafu hawa hawa wanataka Waislam waiunge mkono Chadema...hiyo itakuwa ni sawa sawa umkabidhi Nguruwe akuchomee mishikaki.
Tutamkamata tu liwalo na liwe.
kwani elimu ya ponda ni kidato cha ngapi?
Mwenye CV ya Ponda ailete hapa,maana inawezekana tukawa tunajadili mtu kumbe KILAZA TU!dah! Huyu mtu kumbe hata darasa la 7 alimaliza kwa mbinde?
Kweli huyu ndiye shehk ubwabwa.
kumkamata ponda ni
sawa na kutupia njiti ya kibiriti kwenye petrol, ponda ndiye kiongozi
wetu tutakufa nae.
Aliekwambia tunaongozwa na sheria nchi ni nani? Tunaongozwa na uislamu bwana. Unadhani yaliyotokea mbagala wangekuwa ni wakristo leo tungekuwa tunaendelea kuomboleza baada ya risasi za moto kutumika