muhosni JF-Expert Member Feb 12, 2011 1,108 152 Apr 8, 2011 Thread starter #21 Tunapofuatilia yanayojiri kwenye Mswada wa kutunga katiba mpya naona kama maneno ya Kova yanathibitishwa kuwa kweli vile
Tunapofuatilia yanayojiri kwenye Mswada wa kutunga katiba mpya naona kama maneno ya Kova yanathibitishwa kuwa kweli vile
K Kaseko Senior Member Feb 15, 2011 160 32 Apr 8, 2011 #22 good! Hata jana pale tegeta aliwachia wananchi waamue nao polisi wanachoshwa na ujinga wa viongoz wabovu.
good! Hata jana pale tegeta aliwachia wananchi waamue nao polisi wanachoshwa na ujinga wa viongoz wabovu.
muhosni JF-Expert Member Feb 12, 2011 1,108 152 Apr 8, 2011 Thread starter #23 Kaseko said: good! Hata jana pale tegeta aliwachia wananchi waamue nao polisi wanachoshwa na ujinga wa viongoz wabovu. Click to expand... Kama hisia zako ni za kweli mkuu basi tumekwisha. Kwa sababu wananchi walihangaika sana kuomba ulinzi hadi kwa Mwema lakini hawakupata.
Kaseko said: good! Hata jana pale tegeta aliwachia wananchi waamue nao polisi wanachoshwa na ujinga wa viongoz wabovu. Click to expand... Kama hisia zako ni za kweli mkuu basi tumekwisha. Kwa sababu wananchi walihangaika sana kuomba ulinzi hadi kwa Mwema lakini hawakupata.