kwenye nyeusi hapo...hii ndio sababu kubwa....we fikiria hayo mashere hayo ya miaka 50 kila wizara alshabaab wakiamua kuua hawawez? ni mpaka kwenye mkusanyiko wa maandamano?kova hana uwezo wa kuwazuia kuandamana. waendelee na maandamano yao...labda intelijensia imewaambia huo ndo utakuwa mwanzo wa mwisho wa dola ya ccm...
Tanzania tuna viongozi wa ajabu...!!! Kova kapiga marufuku maandamano ya kupinga Dowans kulipwa 111bns..... eti kwa ajili ya tishio la Al Shabab...
Source Radio Wapo FM..... Najisikia kuanza kulia.....
Tanzania tuna viongozi wa ajabu...!!! Kova kapiga marufuku maandamano ya kupinga Dowans kulipwa 111bns..... eti kwa ajili ya tishio la Al Shabab...
Source Radio Wapo FM..... Najisikia kuanza kulia.....
Tatizo hawa maitelijensia wetu wanafikiria kwa masaburi! Vitu vya muhimu kwa Taifa kwao havina umuhimu...
Muhimu kwa nchi hii ni MAANDAMANO?.Afadhali yazuiliwe maana hata serikali yetu tukufu imekata rufaa,sasa maandamano ya nini kama sio kihelehele.
Freedom of expression. Tanzania una uhuru wa kuwa kiherehere. Miaka 50 mnayoipigia debe ni ya nini?Muhimu kwa nchi hii ni MAANDAMANO?.Afadhali yazuiliwe maana hata serikali yetu tukufu imekata rufaa,sasa maandamano ya nini kama sio kihelehele.