Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Kufuatana na kuidhalilisha serikali nzima ya CCM kuhusu tamko lake kwa umma kuhusu 'kutubu' kwa yule Mkenya kuna uwezekano mkubwa Kova akaondolewa katika wadhifa alionao sasa hivi.
Tetesi zinasema kuwa serikali haimuamini tena kamanda huyo kwani anaweza tena akaitia aibu serikali hasa katika siasa hizi za kutafutana baina ya wanasiasa na vita kubwa iliyopo baina ya CCM na upinzani.
Tetesi zinasema kuwa serikali haimuamini tena kamanda huyo kwani anaweza tena akaitia aibu serikali hasa katika siasa hizi za kutafutana baina ya wanasiasa na vita kubwa iliyopo baina ya CCM na upinzani.