Kova: Kelele Zenu Ni Bure, Ahmed Msangi Ni Mtu Safi. Lazima Aongoze Tume...

Mwisho wa mambo yote umekaribia! Amin nawaambia, watakimbiana na kusalitiana! Muda si mrefu ndugu zangu mtaona haya niwaambiayo. Ngoma ikiliasana hupasuka. Uovu unapoongezeka jua kwa hakika ukombozi unakuwa umekaribia. Amini maneno yangu...mwisho wa uovu kwa Tanzania umekaribia sana kuliko mnavyodhania. Omba kwamba adui wa taifa letu ambao sasa wanajiona ni miungu watu wawe hai siku hizo kuona jinsi nchi itakavyokuwa inaendeshwa. Hata hivyo watz tunapaswa kujifunga kibwewe na kuamua sasa kufanya kazi kwani tutasema tunatumikishwa kwani hauna nchi iliyowahi kuendelea bila watu wake kufanya kazi kwa nguvu sana na kuacha blabla!

hakikisha unabaki na nakala ya barua hizi!
 
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova amesema jopo la upelelezi aliloteua hivi karibuni kushughulikia tukio zima la kutekwa kwa Dk Ulimboka litaendelea na kazi yake hadi mwisho na hatasikiliza kelele za wanaodai kutokuwa na imani nalo.

Alisema madai yanayotolewa na watu mbalimbali akiwemo Dk Ulimboka mwenyewe kuwa hana imani na jopo hilo hazitabadili chochote kwani kinachofanyika hivi sasa ni kazi ya kawaida ya upelelezi ya jeshi hilo... “Hao wanaosema hawana imani na jopo hilo hawana hoja isipokuwa waliache jeshi la polisi lifanye kazi yake.

Kiongozi huyo wa mgomo wa madaktari alitekwa na kisha kujeruhiwa vibaya na baadaye kutelekezwa katika Msitu wa Pande. Source Mwananchi : Kweli kova na haya madudu yote haya ??????????? Kweli........!!


we ni mkaleeeeeee, document hizi wazipataje? i solute wote wafanyakazi wa Serikali wenye kutoa habari nyeti kwa public
 
Hii barua ni kashfa nzito sana! inamgusa mpaka IGP! Wabunge wetu mko wapi? THIS IS NOT ACCEPTABLE!
 
Kwanini magazeti yasichapishe hizo barua ktk ukurasa wao wa mbele ili kumwonyesha kova kwanini watanzania hawana imani na tume? Kwa kuwa kova ni askari hawezi kuliona hili i mpaka pale uaskari wake uapokoma dipo atakuja kuliona hili,ila kwa sasa hata kwa miwani ya mbao hawezi kuliona,nadhani ni vyema baadhi ya magezti yachapishe hizi barua ili iwe wazi hata kwa wale wasiotembelea mitandao ya kijamii
 
Nimeiweka hiyo barua kwa ajili ya rejea za baadae,
kova anatania watu mkuu.
 
Hapa jamvini kuna waandishi wa habari,
bila shaka watalifanyia kazi hili kama na wao siyo sampuli ya msangi.

Kwanini magazeti yasichapishe hizo barua ktk ukurasa wao wa mbele ili kumwonyesha kova kwanini watanzania hawana imani na tume? Kwa kuwa kova ni askari hawezi kuliona hili i mpaka pale uaskari wake uapokoma dipo atakuja kuliona hili,ila kwa sasa hata kwa miwani ya mbao hawezi kuliona,nadhani ni vyema baadhi ya magezti yachapishe hizi barua ili iwe wazi hata kwa wale wasiotembelea mitandao ya kijamii
 
Msishangae inawezekana hata huyo Kova na Mwema wakiwa wanashirikiana na Majambazi. Nchii hii kila Kiongozi anakuwa na Jeuri na dharau kwa wananchi. Pumbafuuuu zao
Ulizia habari za IGP Mahita huta shangaa tena.
 
Hizi barua si za kweli,ni magumashi tu,kwani nijuavyo mimi na jinsi barua ilivyoandikwa ni tofauti.Kwa kawaida Polisi wana utaratibu wa kupeleka comment zao juu kwa wakubwa wao kwa kujaza fomu fulani na si kuandika barua za kawaida,hizo fomu hupitishwa wilayani,mkoani then kwa muhusika kama ni yupo huko makao makuu.Barua imeandikwa si kwa utaratibu wa kipolisi,muulize polisi yeyote atakwambia.Hii danganya toto kaka

Ndugu yangu hivi kichaa akikuambia kuwa hujafunga zipu ya suruali si lazima utajiangalia?Hapa kinachoangaliwa si mfumo
wa kuandika au kutoa taarifa bali ni ujumbe kukufikia.
 
Mi nadhani pamoja na mambo mengine tuiachie tume ifanye kazi yake, tusiitolee majibu tume bali inatupasa tuiwepe ushirikiano katika kutafuta ukweli kwakuwa wote hatujui nani, ama ni kikundi gani kimehusika katika tukio hili ila tutumie busara katika kutoa ushirikiano katika tume iliyoundwa baada ya matokeo ya tume kama hatujalidhika basi ndipo tutoe majibu yetu kwa vyombo vingine ili haki iweze kutendeka.
 
kova mbona jambazi sisi wa tunduma tunamjua yule...so kushirikiana na jambazi msangi ni sawasawa kabisa coz ni mtu wake...hakuna jipya ttanzania, hawa watu ndo wanashirikiana na yule jamaa wa homeshoping centre ambao maelezo yao yalishawekwa humu.
 
Jamani ni ambieni uhusiano wa hawa na ile taarifa ya Mwakyembe?
..Kwa Mwakyembe...kilikwenda secret intelligence white collar team, Kina Kova wanaijua fika.
sasa huu ni mtiririko uliorithiwa from the Top Authority: kumbuka hii
Kampeni za uchaguzi mkuu 2010: JK akimnadi B. Mramba " huyu ni mtu safi!!! chagua yeye!!"
nasema..Msangi ni safiiiii! ongoza ongoza tume bwanaaa
 
Kovu kovu huyu huyu teni, mbona alianzi vizuri nani kamharibu mtotu wa watu?
 
hakuna haja ya kushangaa sana,maana hata Dr.Mwakyembe alilalama sana pale alipoletewa mtuhumiwa kumchunguza lakini hakuna kilichobadilika,nadhani tunahitaji mfumo mzima wa uongozi polisi kubadirika ili watu waweze kuwa na imani na kila tume itakayoundwa na polisi
 
Hizi barua si za kweli,ni magumashi tu,kwani nijuavyo mimi na jinsi barua ilivyoandikwa ni tofauti.Kwa kawaida Polisi wana utaratibu wa kupeleka comment zao juu kwa wakubwa wao kwa kujaza fomu fulani na si kuandika barua za kawaida,hizo fomu hupitishwa wilayani,mkoani then kwa muhusika kama ni yupo huko makao makuu.Barua imeandikwa si kwa utaratibu wa kipolisi,muulize polisi yeyote atakwambia.Hii danganya toto kaka
Halafu wewe lazima utakuwa ni mfupi kwa kimo maana nyie watu wafupi huwa ni wabishiiiii.
 
Subirini majibu ya hii kashfa,Jeshi limeoza kabisa! Naamini Mh Rais anasoma hapa sasa! Bado anapuuza?
 
simple logic, kama kuna malalamiko kutoka kwa wananchi na anafahamu kuna malalamiko, kama hakuna la kuficha, kwann msangi asibadilishwe ili kuweka taswira ya ukweli na uwazi wa matokeo ya uchunguzi

Sometimes hua nafkiria akili ya kova na wenzie hua nacheka sana.kuna yule wa arumeru alisema kada wa chadema hakuuliwa kwa sbb za kisiasa, lakn hapo hapo akasema tume iachwe ifanye kazi yake!!

Ilitokea mauaji songea, aliyepewa uenyekiti wa tume hata kabla ya kuanza uchunguzi akasema waliouawa walikua wahuni na polisi wana haki ya kujilinda..,

Kama hamuwezi kufanya uchunguzi wa haki, basi walau onesheni hata kdg kwamba kuna dalili za kufanya uchunguzi wa haki..., hata kama hamtafanya haki.
 
sikupata kuona kamanda wa mkoa, sifuri kama KOVA! hUyu jamaa nadhani ni kati ya wale askari wasiokuwa na elimu, anafikiri atakuwa katika kiti hicho hata milele..yaani angekuwa anaishi uswahili kwetu, ingekula kwake....
 
Back
Top Bottom