No comment
Inatisha eh?
Mkuu hatari sana, kwa polisi wetu TZ, kuwatetea inahitaji ujasiri wa hali ya juu.
Najua tume huundwa for postponing the agitation,sasa kama kwenye tume kuna Victim wa ilo tukio how do you postpone the agitation!
As a result utaamsha hasira za wananchi bure.
Izi zama kila kitu kweupe huwezi danganya watu wa zama izi
Hivi Kova anataka kutuaminisha kuwa Jeshi la Polisi lina Msangi tu ambaye lazma afanye hiyo kazi?Kakangu nadhani hapo ulimaanisha Suspect/Culprit ambaye ndiye Ahmed Msangi. Kama nivingine basi niwie radhi. Ila sioni mantiki ya mshukiwa kuwa katika tume ya kuchunguza madhambi ya mtu ambaye tayari anatajwa tajwa kila mara.