std7 JF-Expert Member May 6, 2011 1,730 2,630 May 12, 2011 #1 nimekuwa msomaji wa muda mrefu na leo kwa moyo wangu nimeamu kujitosa jamvini nikae na wenye hekima nami niwe na hekima kwani ndivyo ilivyo
nimekuwa msomaji wa muda mrefu na leo kwa moyo wangu nimeamu kujitosa jamvini nikae na wenye hekima nami niwe na hekima kwani ndivyo ilivyo
Mahesabu JF-Expert Member Jan 27, 2008 5,971 3,829 May 12, 2011 #2 usiache mbachao....kwa msala upitao
Chimemena JF-Expert Member Feb 25, 2011 1,376 451 May 12, 2011 #3 tia tia nanga, tia tia tia nanga, tena tia kwa uhakika, usalama na ungalifu kwa kutumia salama za akili yako. Karibuu sana!
tia tia nanga, tia tia tia nanga, tena tia kwa uhakika, usalama na ungalifu kwa kutumia salama za akili yako. Karibuu sana!
std7 JF-Expert Member May 6, 2011 1,730 2,630 May 12, 2011 Thread starter #4 Asante kwa kunikaribisha.
std7 JF-Expert Member May 6, 2011 1,730 2,630 May 12, 2011 Thread starter #7 chelenje said: Jisikie uko safe place,welcome Click to expand... asante sana tuko pamoja kama samaki na maji
chelenje said: Jisikie uko safe place,welcome Click to expand... asante sana tuko pamoja kama samaki na maji
std7 JF-Expert Member May 6, 2011 1,730 2,630 May 12, 2011 Thread starter #8 chelenje said: Jisikie uko safe place,welcome Click to expand... asante sana tuko pamoja kama samaki na maji.
chelenje said: Jisikie uko safe place,welcome Click to expand... asante sana tuko pamoja kama samaki na maji.
mikatabafeki JF-Expert Member Dec 29, 2010 12,772 4,641 May 12, 2011 #10 ur warmly welcome.................................
std7 JF-Expert Member May 6, 2011 1,730 2,630 May 13, 2011 Thread starter #14 Nashukuru. saaaana! ashe....nale..
golwebo_mkuu JF-Expert Member Mar 31, 2011 2,271 688 May 13, 2011 #15 std7 will become famous very soon.
Y Yakuonea JF-Expert Member Apr 11, 2011 601 276 May 14, 2011 #16 karibu sana utapima mwenyewe wenye hekima na wasio na hekima
std7 JF-Expert Member May 6, 2011 1,730 2,630 May 20, 2011 Thread starter #17 Yakuonea said: karibu sana utapima mwenyewe wenye hekima na wasio na hekima Click to expand... hapo umenena maana nimeshaziona ngano na magugu.
Yakuonea said: karibu sana utapima mwenyewe wenye hekima na wasio na hekima Click to expand... hapo umenena maana nimeshaziona ngano na magugu.
Mwenzetu JF-Expert Member Dec 16, 2010 550 193 May 21, 2011 #18 std7 said: nimekuwa msomaji wa muda mrefu na leo kwa moyo wangu nimeamu kujitosa jamvini nikae na wenye hekima nami niwe na hekima kwani ndivyo ilivyo Click to expand... std7 ...................karibu sana,hakika huku kuna hekima sana,usijali polepole tuu nawe hekima utapata ila fata kanuni.............:behindsofa:karibu sana,karibu sofani
std7 said: nimekuwa msomaji wa muda mrefu na leo kwa moyo wangu nimeamu kujitosa jamvini nikae na wenye hekima nami niwe na hekima kwani ndivyo ilivyo Click to expand... std7 ...................karibu sana,hakika huku kuna hekima sana,usijali polepole tuu nawe hekima utapata ila fata kanuni.............:behindsofa:karibu sana,karibu sofani