mimi ni kijana nimeshamaliza university na ninafanya kazi ktk benki mojawapo hapa dar.nimetokea kumpenda binti ambaye mpaka sasa anasome chuo.To be honest siku nilipomwona "i thought i meet with my soul mate".nikaanzisha mazoea naye ya kawaida kwanza,baada ya muda nikamweleza ombi langu "in a honest" way kabisa sikutaka kudanganya.akasema haiwezekani(si unajua tena dada zetu kwa mara ya kwanza!!!!?)nikaendelea ku-insist akadai nimpate muda zaidi.infact nimejitahidi kuwa cooperative sana espacial anapakuwa na matatizo,ninajitahidi kumsaidia na ku-care kadri niwezavyo.Lakini amekuwa akibe-heavior tofauti mara hapatikani kwenye cmu pasipo sababu inayoeleweka,mara hapokei cmu.nikiamua ku-kaa kimya anaanza ku beep!.jibu kamili hatoi.huu mwezi wa nane.nipo kwenye dillema!!
ushauri wadau.
ushauri wadau.