security guard
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 799
- 603
Moja ya Sababu zinazowanyima baadhi ya wabunge usingizi ni ile kuongea mambo tofauti na maendeleo ya jimbo lake tu Bungeni wakasahau mwananchi wa jimbo lake alimpigia kura ili asaidie maendeleo ya Jimbo na sikupigia kelele mambo mengine kwanza matokeo yake Wananchi wamekuja juu, wanauliza miaka yote ya ubunge umefanyia nini hili Jimbo?
Hapo ndio 2015 watu watakapokuwa chaliiiii.....................asubuhi njema waelewa.
Hapo ndio 2015 watu watakapokuwa chaliiiii.....................asubuhi njema waelewa.