Kosa kubwa Watanzania tunaloelekea kulifanya

Pole sana ndugu kwani nikisoma hoja yako nakuona kama mwanamagamba anayetetea kamkate chake mana ni kweli chama cha magamba kimefika mwisho wake tena kitateketea kwa aibu kubwa na hao waliozoea ufisadi sijui wataficha wapi uso. Mi naonelea bora ccm ife kabisa na kuteketea moja kwa moja alafu badae wataibuka watu wapya na kuanza kukijenga upya. Kwa ufupi hakitakiwi kua ata chama cha upinzani
 
Tunachohitaji ni mabadiliko ya kweli kama kitakufa basi kife tu,
kwani mambo ccm c shwali kabisa wanakoelekea watatwangana
makonde, uchu na ufisadi unazidi kupamba moto kila mtu kwa
sasa hivi anaandaa watu wake kwa ajili ya2015
wanachoona ni chema kwao ni kuingiza suala la udini
ili kuwapotezea watu malengo,safari hii wamekwama
lazima waangukie poa
 
kilizoea kuwa chama dola gharama zake zauendeshaji hazibebeki nje ya dola hivyo ni lazima kife hata mie sipendi kife lakini hakina budi kufa kama vyama vingine barani africa kama KANU, UNIP UPC nk. ujue wengine kama akina chegeni wanabakia ccm kwa vile waliahidiwa ukuu wa mkoa baada ya uchaguzi, ahadi hizo zikifikia kikomo nani atabaki? wengine kwa kuahidiwa kupewa tenda yoteyakiisha nani atabaki kwenye chama bila maslahi yaliyowaunganisha kuwepo?Lakiniusihofu utaimarika maana kuna vyama kama NCCR kianaweza kuwa chama kizuri cha upinzani kinajua kuishi bila ruzuku kubwa
 
kilizoea kuwa chama dola gharama zake zauendeshaji hazibebeki nje ya dola hivyo ni lazima kife hata mie sipendi kife lakini hakina budi kufa kama vyama vingine barani africa kama KANU, UNIP UPC nk. ujue wengine kama akina chegeni wanabakia ccm kwa vile waliahidiwa ukuu wa mkoa baada ya uchaguzi, ahadi hizo zikifikia kikomo nani atabaki? wengine kwa kuahidiwa kupewa tenda yoteyakiisha nani atabaki kwenye chama bila maslahi yaliyowaunganisha kuwepo?Lakiniusihofu utaimarika maana kuna vyama kama NCCR kianaweza kuwa chama kizuri cha upinzani kinajua kuishi bila ruzuku kubwa
naona jeneza la CCM linatengenezwa, cha muhimu ni kukinyanganya madaraka na kukiacha chama kiwe cha upinzani
 
Kila mtanzania anatambua wazi kinachoendelea katika nchi etu, vuguvugu kubwa la mageuzi zimeshika kasi na nadhani hakuna namna ya kuzuilika ili ni jambo jema kwani nchi isiyo na mabadiliko basi imekufa.

Lakini kosa kubwa linaloelekea kufanyika ni kufanya mabadiliko kwa kuua chama tawala (CCM) na kuingiza chama cha wanamageuzi(CHADEMA) . mimi nakubaliana kuwa moja kwa moja CCM inatakiwa kupunzika kwani imechoka na mtu asidhani kuipunzisha CCM ni kuua CCM kabisa ili litakuwa kosa kubwa sana kwani chadema ikiwa madarakani bila mpinzani wa kweli CCM basi chama hiki nacho kitajisahau na kuwa kama CCM.

Tusije kufanya kosa la kukiua CCM bali tukipunzishe na kukifanya kuwa chama imara cha upinzani kitachokuja kuibana Chadema itapokuwa madarakani, na kuwe na uwiano wa nguvu katika bunge yani kama chadema wakichukua nchi basi CCM nao kama chama cha upinzani kipate wabunge wa kutosha kiweze kukisimamia chadema vizuri
Kwani ccm ni kanuni ya imani? Kuna lenye mwanzo lisilokuwa na mwisho? Ni Mungu tu asiyekufa! Nani kakuambia ccm ndio mungu wa Tanzania? Waliosema hakuna marefu yasiyokuwa na ncha walikosea? Unafahamu maana ya methali: kufa kufaana? Kuna vikongwe ndani ya serikali ya ccm nilianza kuvisikia nikiwa bado natambaa. Sasa nina wajukuu lakini bado tu vimeng'ang'ania madaraka! Wamezima karama nyingi na matumaini ya vijana yamepotea! Wameifanya siasa kuwa kama ajira pekee yenye kipato! Kazi za kitaalamu zimepuuzwa na shughuli zote za maendeleo zinafanyika kisiasa! Ni vema ccm ife ili karama nyingine zijitokeze! Labda ni wewe tu usiyejua ccm ni akina nani! Kundi la vibaka wachache wakitokomezwa ni raha mstarehe. Ni shangwe na hoihoi! Naam! ni vifijo na ndelemo! Kwani ccm ni chama cha kwanza kufa barani Afrika? Hebu tueleze KANU imepumzikia wapi!
 
Kwani ccm ni kanuni ya imani? Kuna lenye mwanzo lisilokuwa na mwisho? Ni Mungu tu asiyekufa! Nani kakuambia ccm ndio mungu wa Tanzania? Waliosema hakuna marefu yasiyokuwa na ncha walikosea? Unafahamu maana ya methali: kufa kufaana? Kuna vikongwe ndani ya serikali ya ccm nilianza kuvisikia nikiwa bado natambaa. Sasa nina wajukuu lakini bado tu vimeng'ang'ania madaraka! Wamezima karama nyingi na matumaini ya vijana yamepotea! Wameifanya siasa kuwa kama ajira pekee yenye kipato! Kazi za kitaalamu zimepuuzwa na shughuli zote za maendeleo zinafanyika kisiasa! Ni vema ccm ife ili karama nyingine zijitokeze! Labda ni wewe tu usiyejua ccm ni akina nani! Kundi la vibaka wachache wakitokomezwa ni raha mstarehe. Ni shangwe na hoihoi! Naam! ni vifijo na ndelemo! Kwani ccm ni chama cha kwanza kufa barani Afrika? Hebu tueleze KANU imepumzikia wapi!

si chama cha kwanza kufa bali kama kikibaki hai itakuwa fundisho zaidi katika demokrasia kwani wataona matatizo ya kutumia dola vibaya na pia uhuru wanaowanyima watu kufanya maandamano na pia kutoa mwelekeo kwa jamii pindi unaposhika madaraka basi jua ni dhamana na usitumie dhamana vibaya

Zambia wameweza kukipunzisha chama tawala bila kukiua nasi tufuate mfano huo
 
Kila mtanzania anatambua wazi kinachoendelea katika nchi etu, vuguvugu kubwa la mageuzi zimeshika kasi na nadhani hakuna namna ya kuzuilika ili ni jambo jema kwani nchi isiyo na mabadiliko basi imekufa.

Lakini kosa kubwa linaloelekea kufanyika ni kufanya mabadiliko kwa kuua chama tawala (CCM) na kuingiza chama cha wanamageuzi(CHADEMA) . mimi nakubaliana kuwa moja kwa moja CCM inatakiwa kupunzika kwani imechoka na mtu asidhani kuipunzisha CCM ni kuua CCM kabisa ili litakuwa kosa kubwa sana kwani chadema ikiwa madarakani bila mpinzani wa kweli CCM basi chama hiki nacho kitajisahau na kuwa kama CCM.

Tusije kufanya kosa la kukiua CCM bali tukipunzishe na kukifanya kuwa chama imara cha upinzani kitachokuja kuibana Chadema itapokuwa madarakani, na kuwe na uwiano wa nguvu katika bunge yani kama chadema wakichukua nchi basi CCM nao kama chama cha upinzani kipate wabunge wa kutosha kiweze kukisimamia chadema vizuri
Kwani ccm ni kanuni ya imani? Kuna lenye mwanzo lisilokuwa na mwisho? Ni Mungu tu asiyekufa! Nani kakuambia ccm ndio mungu wa Tanzania? Waliosema hakuna marefu yasiyokuwa na ncha walikosea? Unafahamu maana ya methali: kufa kufaana? Kuna vikongwe ndani ya serikali ya ccm nilianza kuvisikia nikiwa bado natambaa. Sasa nina wajukuu lakini bado tu vimeng'ang'ania madaraka! Wamezima karama nyingi na matumaini ya vijana yamepotea! Wameifanya siasa kuwa kama ajira pekee yenye kipato! Kazi za kitaalamu zimepuuzwa na shughuli zote za maendeleo zinafanyika kisiasa! Ni vema ccm ife ili karama nyingine zijitokeze! Labda ni wewe tu usiyejua ccm ni akina nani! Kundi la vibaka wachache wakitokomezwa ni raha mstarehe. Ni shangwe na hoihoi! Naam! ni vifijo na ndelemo! Kwani ccm ni chama cha kwanza kufa barani Afrika? Hebu tueleze KANU imepumzikia wapi!
 
Back
Top Bottom