Zamazamani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2008
- 1,859
- 763
Hili wimbi la wakongwe wa CCM kuhamia upinzani kipindi hiki..then mnawachekea..kitalia kitu mtashangaa!!!!!!Mnategemea nini hapo?..CCM are just very smart, wanacheza na Human Psychology..Hivi mnategemea kweli Shibuda ,Mpendazoe etc...are there for good????Hamuoni kabisa Sura zao zinavyojishitaki???...kama uko smart zaidi,unafiki haujifichi hata mara mora....
Wajinga ndiyo.............
See you when you get there!!!!
Wajinga ndiyo.............
See you when you get there!!!!