Elections 2010 Kosa kubwa linalorudiwa na wapinzani

Zamazamani

JF-Expert Member
Jun 13, 2008
1,859
763
Hili wimbi la wakongwe wa CCM kuhamia upinzani kipindi hiki..then mnawachekea..kitalia kitu mtashangaa!!!!!!Mnategemea nini hapo?..CCM are just very smart, wanacheza na Human Psychology..Hivi mnategemea kweli Shibuda ,Mpendazoe etc...are there for good????Hamuoni kabisa Sura zao zinavyojishitaki???...kama uko smart zaidi,unafiki haujifichi hata mara mora....
Wajinga ndiyo.............
See you when you get there!!!!
 
Hili wimbi la wakongwe wa CCM kuhamia upinzani kipindi hiki..then mnawachekea..kitalia kitu mtashangaa!!!!!!Mnategemea nini hapo?..CCM are just very smart, wanacheza na Human Psychology..Hivi mnategemea kweli Shibuda ,Mpendazoe etc...are there for good????Hamuoni kabisa Sura zao zinavyojishitaki???...kama uko smart zaidi,unafiki haujifichi hata mara mora....
Wajinga ndiyo.............
See you when you get there!!!!

Mkuu at least that too is part of democracy! and not only in TZ.
 
Hao akina shibuda wakishinda watadai nyadhifa za juu kwa madai wao ndo wamekifikisha chama hapo kilipo.
 
I agree with u kuwa hao jamaa ni wakutazama kwa makini kwani tumeona wengi wakikimbilia upinzani na wakishauvuruga basi hurudi kwao kama jogoo anavyorudi bandani jioni...kama kweli wana nia na dhamira ya kweli ya kujenga upinzani wasingekimbilia kuomba kugombea bali wangejipanga na kukijua vizuri chama na sera zake ndipo wagombee wakiwa wana-upinzani wa kweli wanaojua sera na mipango ya upinzani...hii inaonesha kuwa wameona wamekosa nafasi ya kujipatia ulaji CCM ndipo wamekimbilia upinzani kujaribu bahati yao huko.
 
tuna kazi kubwa kuleta mabadiliko ya kweli katika nchi hii

hawa jamaa walipokuwa CCM waliitwa mafisadi leo wapo CHADEMA ni wapiganaji. hii inakuwaje???? tehetehe
sioni kwa nini na huyu Marando na uhuni alioufanya wa kusambaratisha NCCR leo aonekane ni mpiganaji?

any way lets hope watabadilika
 
Kila mtu ana umuhimu wake katika chama anapoingia..na si kila mtu akiingia tu lazima apewe madaraka fulani makubwa. Huoni Tambwe Hizza anavyotumiwa na CCM kubwabwaja tu sasa? Kabla yake nani alikuwa na kazi hiyo?
 
Hili wimbi la wakongwe wa CCM kuhamia upinzani kipindi hiki..then mnawachekea..kitalia kitu mtashangaa!!!!!!Mnategemea nini hapo?..CCM are just very smart, wanacheza na Human Psychology..Hivi mnategemea kweli Shibuda ,Mpendazoe etc...are there for good????Hamuoni kabisa Sura zao zinavyojishitaki???...kama uko smart zaidi,unafiki haujifichi hata mara mora....
Wajinga ndiyo.............
See you when you get there!!!!
If we EVER get there!!!!!!!!Kinachotia naibu ni kule kuwa vigeugeu.Nasikitika Shibuda of all the people anatia aibu!Mara atake kugombea kwa kiti cha CCM,mara ageuke mzalendo baada ya kukosa kura za maoni.Hapo ni uchu tu wa madaraka.Na waseme pia kilichowazuia kuwajibika wakiwa CCM na kitakachowawezesha kuwajibika wakiwa CHADEMA...........
 
I agree with u kuwa hao jamaa ni wakutazama kwa makini kwani tumeona wengi wakikimbilia upinzani na wakishauvuruga basi hurudi kwao kama jogoo anavyorudi bandani jioni...kama kweli wana nia na dhamira ya kweli ya kujenga upinzani wasingekimbilia kuomba kugombea bali wangejipanga na kukijua vizuri chama na sera zake ndipo wagombee wakiwa wana-upinzani wa kweli wanaojua sera na mipango ya upinzani...hii inaonesha kuwa wameona wamekosa nafasi ya kujipatia ulaji CCM ndipo wamekimbilia upinzani kujaribu bahati yao huko.

shibuta anatakiwa awekwe benchi, wasimpe nafasi, mpaka hapo wakapa prove beyond doubt!
 
Dah!! kwa kweli hakuna watu wa kuwaogopa kama Marando ,Shibuda na Mpendazoe..yaani unaona kabisa ni UCHU na NJAA...HAO WATAGEUKA MUDA SI MREFU..MI NAKWAMBIA!!!!...ALL IN ALL HAKUNA MKOMBOZI WA UKWELI...MIMI NACHUKIA SIASA KWA SABABU NIMEKATAA KUFANYWA MJINGA....HAIWEZEKANI ......KWA MFANO AHADI ZA CCM ...99% HAZITEKELEZEKI NI KUWAPUMBAZA WATU TU,HII NI KAWAIDA ....LAKINI HATA HII YA CHADEMA KUSEMA KWAMBA WAKIINGIA IKULU SIJUI NDANI YA SIKU 100 TUTAONA MABADILIKO,,MSHAHARA UTAPANDA,UNAFUU WA BEI,MAISHA NK ..TAFADHALINI JAMANI !!!..HATA MIAKA MITATU MLIOSEMA NI NJOZI.......I HATE POLITICS..NDIO MAANA HUWA SIPIGI KURA..NIMEKATAA KUWA MJINGA...UNLESS UNIAMBIE WEWE KAMA MGOMBEA UTANIFAIDISHA NINI MIMI BINAFSI..(NDIO UKWELI SABABU HAKUNA MANUFAA YA WOTE,NEVER!!).......SITAKI MNIAMBIE USHENZI WA 'KUPIGA KURA NI HAKI YAKO'...NI UPUUZI MTUPU....
 
its hard to judge them, kama wako right or wrong bado ni siri sirini. Mi naona ni sawa koz hawana tofauti na jinsi HERO SLAA alivyoingia Upinzani...
 
Dah!! kwa kweli hakuna watu wa kuwaogopa kama Marando ,Shibuda na Mpendazoe..yaani unaona kabisa ni UCHU na NJAA...HAO WATAGEUKA MUDA SI MREFU..MI NAKWAMBIA!!!!...ALL IN ALL HAKUNA MKOMBOZI WA UKWELI...MIMI NACHUKIA SIASA KWA SABABU NIMEKATAA KUFANYWA MJINGA....HAIWEZEKANI ......KWA MFANO AHADI ZA CCM ...99% HAZITEKELEZEKI NI KUWAPUMBAZA WATU TU,HII NI KAWAIDA ....LAKINI HATA HII YA CHADEMA KUSEMA KWAMBA WAKIINGIA IKULU SIJUI NDANI YA SIKU 100 TUTAONA MABADILIKO,,MSHAHARA UTAPANDA,UNAFUU WA BEI,MAISHA NK ..TAFADHALINI JAMANI !!!..HATA MIAKA MITATU MLIOSEMA NI NJOZI.......I HATE POLITICS..NDIO MAANA HUWA SIPIGI KURA..NIMEKATAA KUWA MJINGA...UNLESS UNIAMBIE WEWE KAMA MGOMBEA UTANIFAIDISHA NINI MIMI BINAFSI..(NDIO UKWELI SABABU HAKUNA MANUFAA YA WOTE,NEVER!!).......SITAKI MNIAMBIE USHENZI WA 'KUPIGA KURA NI HAKI YAKO'...NI UPUUZI MTUPU....
Mhh! Haya mkuu tumekuelewa, kwamba umekataa kuwa mjinga.
 
ndo maana ya siasa. ukiona unanyimwa uhuru sehemu moja huhitaji kulalamika just shift. mbona hata mwera wa Tarime kahamia CUF. Rwakarare kahamia chadema, mbona hamsemi? Siasa ni mtizamo wa mtu, hasa hizi za TZ.
 
I agree with u kuwa hao jamaa ni wakutazama kwa makini kwani tumeona wengi wakikimbilia upinzani na wakishauvuruga basi hurudi kwao kama jogoo anavyorudi bandani jioni...kama kweli wana nia na dhamira ya kweli ya kujenga upinzani wasingekimbilia kuomba kugombea bali wangejipanga na kukijua vizuri chama na sera zake ndipo wagombee wakiwa wana-upinzani wa kweli wanaojua sera na mipango ya upinzani...hii inaonesha kuwa wameona wamekosa nafasi ya kujipatia ulaji CCM ndipo wamekimbilia upinzani kujaribu bahati yao huko.

inachekesha sana kusoma wanaufisadi wa ccm wakijifanya kuwa wanania nzuri na upinzani

Bwa ha h ahaha
 
Dah!! kwa kweli hakuna watu wa kuwaogopa kama Marando ,Shibuda na Mpendazoe..yaani unaona kabisa ni UCHU na NJAA...HAO WATAGEUKA MUDA SI MREFU..MI NAKWAMBIA!!!!...ALL IN ALL HAKUNA MKOMBOZI WA UKWELI...MIMI NACHUKIA SIASA KWA SABABU NIMEKATAA KUFANYWA MJINGA....HAIWEZEKANI ......KWA MFANO AHADI ZA CCM ...99% HAZITEKELEZEKI NI KUWAPUMBAZA WATU TU,HII NI KAWAIDA ....LAKINI HATA HII YA CHADEMA KUSEMA KWAMBA WAKIINGIA IKULU SIJUI NDANI YA SIKU 100 TUTAONA MABADILIKO,,MSHAHARA UTAPANDA,UNAFUU WA BEI,MAISHA NK ..TAFADHALINI JAMANI !!!..HATA MIAKA MITATU MLIOSEMA NI NJOZI.......I HATE POLITICS..NDIO MAANA HUWA SIPIGI KURA..NIMEKATAA KUWA MJINGA...UNLESS UNIAMBIE WEWE KAMA MGOMBEA UTANIFAIDISHA NINI MIMI BINAFSI..(NDIO UKWELI SABABU HAKUNA MANUFAA YA WOTE,NEVER!!).......SITAKI MNIAMBIE USHENZI WA 'KUPIGA KURA NI HAKI YAKO'...NI UPUUZI MTUPU....

Hivi ukiandikia herufi ndogo hautaeleweka?

kwa mujibu wa sheria za forums (blogs etc), ukiandikia CAPS ina maana kuwa unapiga yowe, kuzomea, kulia etc.

Je hicho ndicho unachofanya hapo juu?
 
Dah!! kwa kweli hakuna watu wa kuwaogopa kama Marando ,Shibuda na Mpendazoe..yaani unaona kabisa ni UCHU na NJAA...HAO WATAGEUKA MUDA SI MREFU..MI NAKWAMBIA!!!!...ALL IN ALL HAKUNA MKOMBOZI WA UKWELI...MIMI NACHUKIA SIASA KWA SABABU NIMEKATAA KUFANYWA MJINGA....HAIWEZEKANI ......KWA MFANO AHADI ZA CCM ...99% HAZITEKELEZEKI NI KUWAPUMBAZA WATU TU,HII NI KAWAIDA ....LAKINI HATA HII YA CHADEMA KUSEMA KWAMBA WAKIINGIA IKULU SIJUI NDANI YA SIKU 100 TUTAONA MABADILIKO,,MSHAHARA UTAPANDA,UNAFUU WA BEI,MAISHA NK ..TAFADHALINI JAMANI !!!..HATA MIAKA MITATU MLIOSEMA NI NJOZI.......I HATE POLITICS..NDIO MAANA HUWA SIPIGI KURA..NIMEKATAA KUWA MJINGA...UNLESS UNIAMBIE WEWE KAMA MGOMBEA UTANIFAIDISHA NINI MIMI BINAFSI..(NDIO UKWELI SABABU HAKUNA MANUFAA YA WOTE,NEVER!!).......SITAKI MNIAMBIE USHENZI WA 'KUPIGA KURA NI HAKI YAKO'...NI UPUUZI MTUPU....

hapo ndipo kosa linapoanzia, ni kwa sababu hiyo ni idadi ndogo tu ya watanzania wanaopaswa kupiga kura huwa wanapiga!
Hii ni sawa na hasira za mkizi!
Nenda kaonyeshe husia zako kwa shahada ya kupiga kura!
kama hupigi kura hauna maana hata kama utalalamika! Funguka ki mawazo, hawa jamaa wapigania kura sio wendawazimu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom