and I love myself for that....................Unamoyo kama wamesha kula bata wakienyeji
Ndugu,
1. Akitoa pendo langu kwa mwingine
2. Akijaribu kuniloga kwa njia yoyote
3. Akijaribu kuniua au kuua watoto kwa njia yoyote
4. Akitukana wazazi wangu (Baba & Mama)
kwangu hakuna kosa lisilosameheka..................... provided amekiri na kuomba msamaha. ninachohitaji hasa ni kujua nasamehe nini..........................
kuna jamaa moja alikuwa akimla tigo mkewe yule mwnmke akaona hawezi vumilia akaondoka.mwaka wa sita huu hajarudi na Hataki kusikia tena issue ya ndoa.ss hivi huyu mume anahangaika sana na watt coz alimwachia watt msisikie nyie kukimbiwa au kuachwa tena na wako wa ndoa inatesa kweli na watt ndo wanaoumia
Wewe utasamehe
kuna jamaa moja alikuwa akimla tigo mkewe yule mwnmke akaona hawezi vumilia akaondoka
aisee!Akinipiga hata kibao kimoja.
Habari yako SG huyo mliwa tigo nae ana mambo si alianza kutoa mwenyewe!
alianzaje? alimbaka?...........................alisubiri mpaka aliwe tiGo ndiyo aondoke au alitaka concrete evidence tiGoni? kama alikuwa hataki si angekomaa tu moja kwa moja na kuondoka bila kufanya?
wana jf kosa gani linaweza kukusababisha usimsamehe mpenzi wako kwaupande wangu mimi aki cheza mpira nje ndio sitoweza kumsamehe hata siku moja