wana jf kosa gani linaweza kukusababisha usimsamehe mpenzi wako kwaupande wangu mimi aki cheza mpira nje ndio sitoweza kumsamehe hata siku moja
Embu dadavua hapo, akicheza mpira gani nje? Football, basketball, akaenda kucheza ligi kuu ya uingereza labda. . .funguka jane000
wana jf kosa gani linaweza kukusababisha usimsamehe mpenzi wako kwaupande wangu mimi aki cheza mpira nje ndio sitoweza kumsamehe hata siku moja
I mean aki do nje kuna watoto humu bado hawa jalala mod ataipoteza post yangu
kongosho wewe ulinisakama sana umefikaa wapi?
Kwani kuomba ndio kuchukua? si anaomba tu? kuna kupewa na kukataliwa. we mwambie tu hutaki. hasira ya nini hapo?akiomba TIGO tu!wallah si Msamehe dunian na Akhera
Kwani kuomba ndio kuchukua? si anaomba tu? kuna kupewa na kukataliwa. we mwambie tu hutaki. hasira ya nini hapo?
Ok mkuu, umesikika.Mla tigo na mliwa tigo, woote wawili hawatauona ufalme wa mungu. Ni maudhi makubwa mno kwa MUNGU, Kwa hili MUNGU anasema ole, kama ushawahi fanya au kufanyiwa tayari una laana duniani na mbinguni.
tigo ni mtandao halali umesajiliwa na serikali inautoza kodi, kwa nini kuwabania wateja kujiunga?????????akiomba TIGO tu!wallah si Msamehe dunian na Akhera