Polisi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,082
- 639
Je adhabu hii ni halali kweli, Immigration Act kifungu 31(2) kinasema ni faini isiyozidi laki moja au kifungo ksichozidi miaka mitatu.
Sijaona adhabu ya viboko, wandugu au hakimu alikuwa overzelous?
True. hata mimi imenistua kidogo. labda kama amemtia hatiani na makosa mengine!!!