Nemesis
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 5,460
- 4,359
Dont worry Jasusi;hawa watu hawajawahi kukubali kashfa directly hadi wabanwe na akina Seleli Bungeni!
Iweje serikali ya Pyongyang ikurupuke kwenye media za kimataifa zitangaze hili deal ambalo Waziri Wassira analikanusha?
Time will tell na hapo kama kawaida yao watakuja na blahblah zao kutuweka sawa sisi wadanganyika!
Mkuu siyo Serikali ya Pyongyang ni Serikali ya Seuol (Republic of Korea) siyo DPRK.