Korea yanunua ardhi "kwa mkopo" Tanzania, Serikali yasita kuthibitisha

... Mazao watakayolima ni kwa ajili ya soko lao. Uharibifu wowote watakaoufanya wakati wa kuzalisha hayo mazao ni mzigo wetu na vizazi vijavyo. Moja ya sababu ya kukimbilia kwetu ni kukwepa masharti magumu ya mazingira yaliyopo nchini mwao. Hapa wanajua wataweza kufanya lolote bila mtu kujali wala kuuliza. Hizo infrastructure zitawekwa kwa ajili yao na zitakidhi mahitaji yao wakati wapo... Hapana, huu mradi haustahili.

Mkuu Fundi,

Nimecheka sana. Kwa hiyo sasa naona unachokiona hapa ni tuzuie miradi kama hii kutokana na udhaifu wetu huo uliouelezea hapo juu.

Je, kwa udhaifu huu, si tutaendelea kukosa any growing opportunities, Je ni kwa nini tusiondoe udhaifu wetu na tukaamua sasa ku team up na wawekezaji katika win-win situation? Unaonaje hilo? Au basi, kwa nini tusifanye wenyewe tu hii miradi?
 
Ni kipi ambacho sisi hatuwezi kukifanya kati ya hivyo na kwanini hatuwezi?

Tell them kama kilimo babu zetu wamelima baba zetu wamelima na hawajawahi kutuangusha hata siku moja pamoja na elimu yao duni, ( kumbuka mapaka mikoa kuitwa the big four) kila mwaka bumper harvest gunia la mahindi lilishuka mpaka 6,000/=.

Ona sasa, sisi rika lililoenda madarasa, vidato, shahada, stashahada, uzamili tunashindwa nini???????

Mkulima alikuwa na punda wake au maksai na kabaiskeli kalikochoka sisi VX, desktop, GPS kwenye briefcase, laptop vyeti kibao mwanzo wa ukuta mpaka mwisho certificate of attendace mpaka phd halafu kulima mazao tuite wakorea huu ni wazimu kabisa.

Lini tutaamka au mpaka tuamshwe??????
 
....ushaanza mambo yako tena. Leo hii tunaongelea Wakorea, hawa watu hawana dini za kishabiki shabiki tulizozoea sisi mkuu!! Ardhi ya Watanzania kwanza, mambo ya Imani baadae!

Aisee huyu DSM ni mpumbavu sijapata kuona. Cha kufanya ni kumuweka kwenye ignore list. Akijikuta hamna anayejibizana naye atapata wasaa wa kuerevuka.
 
Just as a corection and for the record: Hakuna mahali Nyerere alisema ujamaa ulishindwa. Ukiipata hiyo quote naomba uiweke hapa. Acha mazoea ya kutunga vitu vya uongo.

With unusual frankness for a politician, he stated in his farewell speech, "I failed. Let's admit it."

source: http://en.allexperts.com/e/j/ju/julius_nyerere.htm

Conclusion: Julius Nyerere Himself

Any look at Julius Nyerere is not complete unless it highlights the reason why Tanzania still so highly respects its beloved leader: his character. Nyerere was a humble man. It is said that in the midst of traveling from region to region, delivering public speeches as president, that he would lay aside his speech schedule every so often to help a local farmer plant or harvest his crops. Unless one knew what he looked like, Nyerere could have been easily overlooked as any one of the other farmers in the field. He was very approachable, and this has set a precedent for proceeding presidents who will often have common peasants who demand a personal audience with the president. Nyerere was self-effacing and not afraid to admit his mistakes and recognize his failures. In a rather forthright way, he recognized the economic outcome of his social experiment in his farewell speech in 1985: "I failed. Let's admit it." Yet, it was that speech in 1985 that made him the first African head-of-state to voluntarily step down from office, again showing the humility of the man. And to say that he was a failure would be to ignore the huge strides he had made in education and medical, to say nothing of the all-too-rare commodity of political peace that was achieved under his nearly 25 years of leadership. The role that he played in politics, even after resigning from the presidency is illustrated in his influence on the one-party political system. Nyerere began to speak out about the corruption that had taken hold of Tanzania's one political party, and he began to advocate for multiple parties to provide an alternative to the stagnant CCM (Tanzania's ruling party). It was through Nyerere's influence that Tanzania peacefully transitioned to a multi-party democracy.
Julius Nyerere, left an indelible mark on Tanzania, one that will not soon be forgotten.


source: http://eadstotanzania.typepad.com/eadstotanzania/julius_nyerere/


by MATT HAMEL
Friday, December 27, 2002 12:01 A.M. EST
Yesterday was the first day of Kwanzaa, the week-long celebration that is often taken to be a kind of Christmas substitute or parallel December holiday. Of course there is much more to it than that.
Kwanzaa was started in the late 1960s by Maulana (né Ron) Karenga--a California civil-rights activist and now a professor--as a series of days for blacks to reflect on "The Seven Principles," which constitute a credo "by which Black people must live in order to begin to rescue and reconstruct our history and lives." The principles themselves are utility, self-determination, collective work and responsibility, cooperative economics, purpose, creativity and faith, each of which goes by its name in Kiswahili, the major language of the East African country of Tanzania (e.g., umoja, ujima, ujamaa).
Many sources of inspiration have been identified in Mr. Karenga's thinking, most prominently the teachings of Julius Nyerere, the son of a minor chief in rural Tanzania who studied in Britain and returned to his country to lead it to independence in 1961. Nyerere served as Tanzania's charismatic president for the next 23 years.
In 1967, Nyerere announced that ujamaa, often translated as "familyhood," would henceforth be the guiding principle of Tanzanian social and economic policy. He felt that the "relentless pursuit of individual advancement" was not well-suited to African society.
Predictably, Nyerere's version of socialism drove the already low-flying Tanzanian economy into the ground. The forced relocation of 10 million to 12 million peasants into 8,000 "cooperative" government villages (and the razing of their ancestral homes) resulted in badly inefficient land use. The country went from being the largest exporter of food in Africa in 1961 to the greatest importer of food in 1980. Production of sisal, the primary raw-material export in 1960, shriveled to 20% of its peak by the early 1980s. With most of Tanzania's foreign exchange devoted by then to food imports, nothing was left for spare parts for the aging industrial sector or for fuel to get farmers' meager produce to market. It was altogether a disaster.
But you don't have to take my word for it; listen to Nyerere himself. When he stepped down as Tanzania's head of state in 1984, he summed up his tenure in perhaps the five most honest words ever uttered by a world leader: "I failed. Let's admit it."


Naona zinatosha kwa sasa, au?
 
Aisee huyu DSM ni mpumbavu sijapata kuona. Cha kufanya ni kumuweka kwenye ignore list. Akijikuta hamna anayejibizana naye atapata wasaa wa kuerevuka.

Mpumbavu ni wewwe usiekubali ukweli ambao Nyerere mwenyewe kaukubali! soma juu hapo, mwenzako kataka ushahidi. Unakasirika nini? ukweli unauma? au unataka kila unachosema hata kama si kilivyo tukikubali tu?
 
With unusual frankness for a politician, he stated in his farewell speech, "I failed. Let's admit it."

source: http://en.allexperts.com/e/j/ju/julius_nyerere.htm

Conclusion: Julius Nyerere Himself

Any look at Julius Nyerere is not complete unless it highlights the reason why Tanzania still so highly respects its beloved leader: his character. Nyerere was a humble man. It is said that in the midst of traveling from region to region, delivering public speeches as president, that he would lay aside his speech schedule every so often to help a local farmer plant or harvest his crops. Unless one knew what he looked like, Nyerere could have been easily overlooked as any one of the other farmers in the field. He was very approachable, and this has set a precedent for proceeding presidents who will often have common peasants who demand a personal audience with the president. Nyerere was self-effacing and not afraid to admit his mistakes and recognize his failures. In a rather forthright way, he recognized the economic outcome of his social experiment in his farewell speech in 1985: "I failed. Let's admit it." Yet, it was that speech in 1985 that made him the first African head-of-state to voluntarily step down from office, again showing the humility of the man. And to say that he was a failure would be to ignore the huge strides he had made in education and medical, to say nothing of the all-too-rare commodity of political peace that was achieved under his nearly 25 years of leadership. The role that he played in politics, even after resigning from the presidency is illustrated in his influence on the one-party political system. Nyerere began to speak out about the corruption that had taken hold of Tanzania's one political party, and he began to advocate for multiple parties to provide an alternative to the stagnant CCM (Tanzania's ruling party). It was through Nyerere's influence that Tanzania peacefully transitioned to a multi-party democracy.
Julius Nyerere, left an indelible mark on Tanzania, one that will not soon be forgotten.

source: http://eadstotanzania.typepad.com/eadstotanzania/julius_nyerere/

o la laa! kumbe Nyerere alikuwa kiongozi mzuri namna hii! hebu angalia mlolongo wa misifa aliyonayo,
 
With unusual frankness for a politician, he stated in his farewell speech, "I failed. Let's admit it."

source: http://en.allexperts.com/e/j/ju/julius_nyerere.htm

Conclusion: Julius Nyerere Himself

Any look at Julius Nyerere is not complete unless it highlights the reason why Tanzania still so highly respects its beloved leader: his character. Nyerere was a humble man. It is said that in the midst of traveling from region to region, delivering public speeches as president, that he would lay aside his speech schedule every so often to help a local farmer plant or harvest his crops. Unless one knew what he looked like, Nyerere could have been easily overlooked as any one of the other farmers in the field. He was very approachable, and this has set a precedent for proceeding presidents who will often have common peasants who demand a personal audience with the president. Nyerere was self-effacing and not afraid to admit his mistakes and recognize his failures. In a rather forthright way, he recognized the economic outcome of his social experiment in his farewell speech in 1985: "I failed. Let's admit it." Yet, it was that speech in 1985 that made him the first African head-of-state to voluntarily step down from office, again showing the humility of the man. And to say that he was a failure would be to ignore the huge strides he had made in education and medical, to say nothing of the all-too-rare commodity of political peace that was achieved under his nearly 25 years of leadership. The role that he played in politics, even after resigning from the presidency is illustrated in his influence on the one-party political system. Nyerere began to speak out about the corruption that had taken hold of Tanzania's one political party, and he began to advocate for multiple parties to provide an alternative to the stagnant CCM (Tanzania's ruling party). It was through Nyerere's influence that Tanzania peacefully transitioned to a multi-party democracy.
Julius Nyerere, left an indelible mark on Tanzania, one that will not soon be forgotten.


source: http://eadstotanzania.typepad.com/eadstotanzania/julius_nyerere/


by MATT HAMEL
Friday, December 27, 2002 12:01 A.M. EST
Yesterday was the first day of Kwanzaa, the week-long celebration that is often taken to be a kind of Christmas substitute or parallel December holiday. Of course there is much more to it than that.
Kwanzaa was started in the late 1960s by Maulana (né Ron) Karenga--a California civil-rights activist and now a professor--as a series of days for blacks to reflect on "The Seven Principles," which constitute a credo "by which Black people must live in order to begin to rescue and reconstruct our history and lives." The principles themselves are utility, self-determination, collective work and responsibility, cooperative economics, purpose, creativity and faith, each of which goes by its name in Kiswahili, the major language of the East African country of Tanzania (e.g., umoja, ujima, ujamaa).
Many sources of inspiration have been identified in Mr. Karenga's thinking, most prominently the teachings of Julius Nyerere, the son of a minor chief in rural Tanzania who studied in Britain and returned to his country to lead it to independence in 1961. Nyerere served as Tanzania's charismatic president for the next 23 years.
In 1967, Nyerere announced that ujamaa, often translated as "familyhood," would henceforth be the guiding principle of Tanzanian social and economic policy. He felt that the "relentless pursuit of individual advancement" was not well-suited to African society.
Predictably, Nyerere's version of socialism drove the already low-flying Tanzanian economy into the ground. The forced relocation of 10 million to 12 million peasants into 8,000 "cooperative" government villages (and the razing of their ancestral homes) resulted in badly inefficient land use. The country went from being the largest exporter of food in Africa in 1961 to the greatest importer of food in 1980. Production of sisal, the primary raw-material export in 1960, shriveled to 20% of its peak by the early 1980s. With most of Tanzania's foreign exchange devoted by then to food imports, nothing was left for spare parts for the aging industrial sector or for fuel to get farmers' meager produce to market. It was altogether a disaster.
But you don't have to take my word for it; listen to Nyerere himself. When he stepped down as Tanzania's head of state in 1984, he summed up his tenure in perhaps the five most honest words ever uttered by a world leader: "I failed. Let's admit it."


Naona zinatosha kwa sasa, au?

Hiyo makala haithibitishi lolote! Weka hotuba yenyewe aliyotoa Nyerere kwa Kiswahili au Kiingereza neno-kwa-neno siyo kutubandikia second-hand and third-hand references and quotes. Inawezekana kabisa imetafsiriwa vibaya hiyo hotuba (either kutoka Kiswahili hadi Kiingereza au walimnukuu out-of context).
 
With unusual frankness for a politician, he stated in his farewell speech, "I failed. Let's admit it."

source: http://en.allexperts.com/e/j/ju/julius_nyerere.htm

Conclusion: Julius Nyerere Himself

Any look at Julius Nyerere is not complete unless it highlights the reason why Tanzania still so highly respects its beloved leader: his character. Nyerere was a humble man. It is said that in the midst of traveling from region to region, delivering public speeches as president, that he would lay aside his speech schedule every so often to help a local farmer plant or harvest his crops. Unless one knew what he looked like, Nyerere could have been easily overlooked as any one of the other farmers in the field. He was very approachable, and this has set a precedent for proceeding presidents who will often have common peasants who demand a personal audience with the president. Nyerere was self-effacing and not afraid to admit his mistakes and recognize his failures. In a rather forthright way, he recognized the economic outcome of his social experiment in his farewell speech in 1985: "I failed. Let's admit it." Yet, it was that speech in 1985 that made him the first African head-of-state to voluntarily step down from office, again showing the humility of the man. And to say that he was a failure would be to ignore the huge strides he had made in education and medical, to say nothing of the all-too-rare commodity of political peace that was achieved under his nearly 25 years of leadership. The role that he played in politics, even after resigning from the presidency is illustrated in his influence on the one-party political system. Nyerere began to speak out about the corruption that had taken hold of Tanzania's one political party, and he began to advocate for multiple parties to provide an alternative to the stagnant CCM (Tanzania's ruling party). It was through Nyerere's influence that Tanzania peacefully transitioned to a multi-party democracy.
Julius Nyerere, left an indelible mark on Tanzania, one that will not soon be forgotten.

source: http://eadstotanzania.typepad.com/eadstotanzania/julius_nyerere/

o la laa! kumbe Nyerere alikuwa kiongozi mzuri namna hii! hebu angalia mlolongo wa misifa aliyonayo,

Of course, utaandika, utamsifu, utafanya chochote upendacho, lakini ukweli unabaki pale pale, ni kwamba he admitted that he Failed and Indeed He Failed, he had no doubt.
 
Hiyo makala haithibitishi lolote! Weka hotuba yenyewe aliyotoa Nyerere kwa Kiswahili au Kiingereza neno-kwa-neno siyo kutubandikia second-hand and third-hand references and quotes. Inawezekana kabisa imetafsiriwa vibaya hiyo hotuba (either kutoka Kiswahili hadi Kiingereza au walimnukuu out-of context).

Ama kweli, wote hao watu tofauti niliobandika hapo wamnukuu vibaya? huna hoja!
 
Dar Es Salaam,

Ama kweli nikampigie gitaa mbuzi!

Bora ufanye hivyo, kwa kuniambia Nyerere kaweza wakati mwenyewe anasema ameshindwa, hakuna cha kubadilisha usemi wake, labda ukampigie Mbuzi Gita!
 
Dra Es Salaam,
Wapi nimekwambia Nyerere kaweza!
Zaidi ya hapo mkuu wangu habari ya kuweza na kushindwa, hii lugha umeitoa wapi lakini!
 
Dra Es Salaam,
Wapi nimekwambia Nyerere kaweza!
Zaidi ya hapo mkuu wangu habari ya kuweza na kushindwa, hii lugha umeitoa wapi lakini!

Kama sijakupata vizuri, nisamehe sana.

Hii lugha inatokana na wengi, hasa wale ambao hawakuwepo wakati wa Nyerere kuona kuwa alikuwa ni kiongozi ambae hana makosa. Na yote hiyo inatokana na sababu za wakati huo wa Nyerere, kulikuwa hakuna chombo binafsi ya ama cha habari ya ama mashirika ya haki za binadam ya ama mashirika yasiyokuwa ya kiserikali yanayoweza kumkosoa. Kwa kifupi ulikuwa ni utawala wa kidikteta, kama zilivyokuwa tawala nyingi za kiAfrika baada ya kujipatia Uhuru.

Wananikera kwa kuwa hawajui ukweli wa matatizo ya kibinadam tulio kutana nayo wakati huo, kwa sababu tu, Ujamaa alioukusudia alishindwa!
 
Mpumbavu ni wewwe usiekubali ukweli ambao Nyerere mwenyewe kaukubali! soma juu hapo, mwenzako kataka ushahidi. Unakasirika nini? ukweli unauma? au unataka kila unachosema hata kama si kilivyo tukikubali tu?

Wewe lazima utakuwa khanithi, ni wapi mimi niomeongelea habari za Nyerere? Hivi una akili kweli wewe? Hebu some tena kichwa cha habari cha thread.
 
ndugu zangu, mabishano ya Nyerere aliweza au hakuweza hiyo ni historia. hivyo mnavyofanya mnawa-let down wale wanaowachukulia nyinyi kuwa mifano ya kuigwa. kwasasa, tunajua kilicho mbele yetu - kwanini ardhi yetu inaporwa? na tufanye nini kuzuia dhuluma hii?
 
ndugu zangu, mabishano ya Nyerere aliweza au hakuweza hiyo ni historia. hivyo mnavyofanya mnawa-let down wale wanaowachukulia nyinyi kuwa mifano ya kuigwa. kwasasa, tunajua kilicho mbele yetu - kwanini ardhi yetu inaporwa? na tufanye nini kuzuia dhuluma hii?

Ardhi haiporwi, wa Korea wanawekeza katika ka kilimo, kuna mtu kaandika hapo juu kuonesha kuwa wanawekeza kwenye ardhi ya kilimo hata Urusi.

Leo hii sisi, ardhi safi tunayo, lakini ikifika wakati fulani fulani tunatangaziwa kutakuwa na tishio la njaa kwa kukosa mazao au kuna njaa, na inabidi hapo serikali ifanye jitihada za ziada, kama hapo nyuma kidoogo, alivyofanya JMK na kuahidi ''hafi'' mtu kwa njaa Tanzania.

Sasa, tuendelee na hii management ya kutatua tatizo linapotokea au tuchukuwe measures za makusudi za kufanya kila njia, za muda mrefu na mfupi kuhakikisha kuwa tunamaliza tatizo hili la njaa wakati wa kiangazi?

JMK anafanya linalostahiki, ameamuwa kuwekeza kwenye kilimo, ameamuwa kuwaita wawekezaji kwenye kilimo, ameamuwa kuongeza tija kwenye kilimo, kwa kutumia njia zote anazoziona zina/zitafaa, kwa muda mrefu na mfupi.

Baada ya yote hayo, anakuja mtu anasema wageni wanatupora ardhi, inashangaza sana hii!

Jena kuna mTanzania anaetaka ardhi ya kulima akanyimwa? Jee, kuna mTanzania atakae kuwekeza kwenye kilimo akanyimwa? jibu ni simply, hakuna. Jee, tuna Ardhi ya kilimo ya ukubwa gani ambayo haijaguswa mpaka sasa? jibu, ni nyingi sana. Jee, Ardhi hii tunayowapatia hawa wawekezaji wa ki Korea ambao kuna kila dalili inaonyesha kuwa tuna uwezo wa kukubaliana nao uwekezaji wao uwe na tija kwa mwanachi wa Tanzania, inawezekana tukafaidika? Ndio, tunaweza kujifunza mengi sana kutoka kwa hawa wawekezaji.

Ikumbukwe, tuliwakaribisha wa Canada kule Hanang, kutusaidia kilimo cha Ngano, kilifanikiwa sana, wakatuachia kila mashine ya kulima na kuvuna ngano kwa ustadi, wakatufundisha kwa miaka, tukawa na mashamba makubwa katika Afrika mashariki, ya ngano. Cha kustaajabisha ni kuwa, walipoondoka tu na kutuwachia wenyewe, kama kawaida yetu ya kuuwa kila kilicho cha umma, na haya mashamba na ma mashine na materekta na ma havesta na ma kombaina na majumba waliojenga na makarakana waliosimika na ujuzi waliotuachia, yote hayo tukashindwa kuyaendeleza, tukayaua. Leo hii, baadhi ya mashamba yale, wamepewa wa Kenya kuwekeza. Yana/tafanikiwa, kwa kuwa si ya umma, ni ya mashirika binafsi.

Sasa, tuwaache hawa wa korea wawekeze, na safari hii tuhakikishe wanawafundisha wakulima na mashirika (companies) ya wakulima binafsi, si umma tena, haya ya mali ya umma yalitushinda kabisaaaa. Wataweza na tutafanikiwa, ikiwa tu, tutaamsha bongo zetu zilizo lala, tuwe macho na yale makosa aliyokubali Nyerere kuyafanya, tusiyarudie sisi. Nyerere, wengi hawakumuelewa kukubali kwake makosa, kwa kuwa, wengi wetu hawana mantiki ya kupima maneno na wao ndio kwanza hujidai kuwa ndio wajuzi. Nyerere aliposema kashindwa, he meant it, na alikuwa akituambia tusirudie makosa. Leo, unapeleka mkono wa kushoto shimoni unagongwa na nyoka halafu unautowa unapeleka tena wa kulia?

Tuwape wa Korea, tuhakikishe, wanaweka research centres kwenye hayo mashamba na ziwe accessible na wa tanzania wote watapohitaji data, au kufanya reseach, of course kuwe na sheria fulani fulani isiwe holela tu.

Tuhakikishe wanachukuwa wa Tanzania kuwafundisha hapo mashambani, kila kazi zitazikuwepo, we can even agree with them, iwe wanachukuwa intake ya certain number of interns kwa kila shamba kwa fani tofauti zinahusika na kilimo. Tutafaidika.

Besides, wamesha sema nusu ya mazao yatabaki hapa hapa nchini. Hii pekee ni faida. Nauliza, haitopunguza shida ya njaa wakati wa kiangazi ikiwa ni mazaon ya chakula? jibu, itapunguza. Jee, hiyo nusu ya mazao ikiwa ni mazao ya mali ghafi za viwandani, haitotupatia kipato? jibu itatupatia. Jee, kuna faida ya kuiwacha ardhi tupu ya kilimo ikae wazi tu wakati kwa kuwa kwa sasa hatuna uwezo wa kuilima wenyewe na tukiikodisha au kuwapa wawekezaji kwa masharti yatayo tupa tija na faida, kwa nini tusifanye hivyo.

Sioni mantiki ya kusema wanatupora ardhi yetu! wanatupora wanaipeleka wapi? Korea?

Kama ulivyosema, nasema ya Nyerere tumwachie Nyerere, tutazame ya sasa, wapi tunatoka tunajuwa, wapi tulipo tunajuwa, jee wapi tunakwenda? KWA KUTAZAMA MAKOSA YA TULIPOTOKA, KUFANYA JITIHADA YA KUYAREKEBISHA HAPA TULIPO, BASI TUTAFIKA TUNAPOKWENDA KWA KASI YA AJABU.
 
Last edited by a moderator:
Hao hao wanaosema Nyerere hakuweza ndio wa kwanza kutetea uporaji wa ardhi yetu eti Wakorea hawapori wanawekeza. Kama ni uwekezaji mbona Madagascar waliwakataa? Kwani wao wajinga?
 
Hao hao wanaosema Nyerere hakuweza ndio wa kwanza kutetea uporaji wa ardhi yetu eti Wakorea hawapori wanawekeza. Kama ni uwekezaji mbona Madagascar waliwakataa? Kwani wao wajinga?

Wanasababu zao, sijasikia kuwa kuna njaa za mara kwa mara wakati wa kiangazi huko Madagascar, sijui hata kama wana majira ya kiangazi. Labda wewe unajuwa, tujuze.

Kila Taifa lina sababu za kukubali au kukataa mwekezaji wa aina yeyote ile, makubaliano huwa ni ya pande mbili si moja. Kila nchi ina sheria zake. Nami nasema tuzifanye zetu ziwe na Tija kwa mTanzania. Tukumbuke makosa ya kuwapora (kutaifisha mashamba na megineyo) halagu miaka michache baadae tukashindwa kuendesha tulicho kipora, tukaanza kuwa omba omba hadi leo hii, tupo katika kundi la Taifa Omba Omba, ni hivi juzi tuu tumeona JMK akishusha namba za mahitaji ya bajeti ktuoka kwa wahisani nje ya Tanzania kutoka zaidi ya hamsini kwa mia kurudi chini ya hapo. Ahsante JMK kwa kutupunguzia uomba omba na nnauhakika miaka mitatu ijayo, kwa muongozo na muono wako, tutakuwa tunasaidia sisi badala ya kusaidiwa. Ikumbukwe hakuna awamu yoyote ya Tanzania ambayo imefikia kiwango cha chini cha utegemezi wa bajeti kama alichotufikisha JMK kwa muda mfupi sana. Pongezi nyingi JMK.
 
Back
Top Bottom