kelao
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 8,132
- 5,785
:-!:-!:-!Yaani hawa jamaa huwa wananichekesha sana, N. Korea yeye ni mkwara mara ahamishe makombora mara hivi hawaeleweki,wanakuwa kama kitoto wakitaka kupigana mtu anaanza kukunja mikono ya t-shirt wakati haihusiani