wewe hauli kwa sababu umeikuta jamii inayokuzunguka hawali. Ungekuwa umezaliwa China labda na wewe ungekuwa mlaji mzuri sana.he kumbe na watanzania mpo mnaokula?lol nilijua waghana na wachina pekee ...lol
hiyo mboga nzuri sana. Supu yake usipime..tet teeeee