Unasema?
Siku ile mbona ulikuwa unahesabu matobo darini kisha ukanambia nikimaliza nifunike? Huo ujuzi wa pangaboi umeuvuna wapi bondeni ulikokuwa?Bishanga kajiishia ataliweza panga boi nlofunga?
Hapa kwangu nina kisima cha maji na wala sijanunua motor, nakizungusha mwenyewe.
Uuuuuuuuuuuwi at last!!!!!!!
Karibu love,bila wewe vibaton vya ipad yangu vina stuck.
Ulikuwa wapi wewe?
Uuuuuuuuuuuwi at last!!!!!!!
Karibu love,bila wewe vibaton vya ipad yangu vina stuck.
Ulikuwa wapi wewe?
Umeanza tena vurugu zako? Nimwite invisibo akufanzie?
Siku ile mbona ulikuwa unahesabu matobo darini kisha ukanambia nikimaliza nifunike? Huo ujuzi wa pangaboi umeuvuna wapi bondeni ulikokuwa?
Hahaha,mkuu umesahau nilivyovurumishiwa scud kwenye ile thread,tena ilirushwa toka kwenye dege kubwa!
Ndo mana sielewagi,konnie ni He au She?
Mwanaume hufai wewe jamani. Mi basi tena. Ngoja nikapaki nguo zangu nirudi makwetu!
Nasikia harufu ya wivu.
Unakujua wew sirius? Kule shurti kwa roketi ya soyuz.
Mwanaume hufai wewe jamani. Mi basi tena. Ngoja nikapaki nguo zangu nirudi makwetu!