Ndokeji
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 698
- 475
Wana jf habari zenu natumaini hamjambo .jamani tangu niingie jf nafurahia sana raha ya humu, hata facebook nilishaipiga chini, muda wote niko jf maana napata uptade za maisha ,furaha na mapenzi kila muda . NDUGU zangu wanajf nawapenda wote wana jf lakini nawazimia sana lizzy na kongosho ,nikisoma post zao navuta hisia mpaka napata sura zao, sana sana napenda post zao najinsi walivyo active. Jamani wakuniponda uwanja wenu ila matusi hayaruhusiwa humu,na je munaonaje hizo machine mbili kongosho na lizzy