Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
We nae unaongea sana.Utawezaje acha kuwa there for me?
Wakati unapigwa mateke Unga Ltd, nilikukaribisha mchele Ltd.
Unaona Ruhazwe anavyomchafua mtoto?
We nae unaongea sana.Utawezaje acha kuwa there for me?
Wakati unapigwa mateke Unga Ltd, nilikukaribisha mchele Ltd.
Unaona Ruhazwe anavyomchafua mtoto?
hongera konnie tumepishana siku 8 tu
hongera konnie tumepishana siku 8 tu
Hau ol a yu The Secretary?
Wait till 26.
Asante, basi nd maana wanipenda kumbe?
Siku 8 tu, hata mie nakupenda
Sijui kwa nini unamkataa shoga angu Bishanga
Anajua kutunza huyo?
Afu nikunong'oneze( Sio mzee kabisa, ana miaka 33, huwa anajiita mzee ili vibinti visimsumbue)
ninong'eneze basi hilo fataki la tandale noma
Ha ha ha ha, BADILI TABIA, hivi umeachika kwa Buchanan?Asante kwa zawadi zako.Ujumbe: Nimekufa, nimeoza nimebaki kunuka lol
Happy birthday Kongosho.
jibu basi post ya konnie hapo juu.
ninong'eneze basi hilo fataki la tandale noma
come on darling,unaniumiza ujue?
Hivi we BADILI TABIA, bado hujajua kuwa Kongosho alishanipiga chini? Hivi niko kwenye mchakato wa kutafuta mbadala. Nchagulie wa kumpa hiyo makitu.
Happy Birthday Kongosho
hi hi hi....ngoja nikupe namba yake umwite mwenyewe..........
@buchanan hana uthubutu wa kuniacha......
ila wewe Kongosho unataka kuniharibia kwa naniliu...inakuwaje unaleta habari za bebiboi wangu hapa?
Kumbe leo Birthday ya Kongosho hata sikuambiwa??? Happy birthday Konnie, may you live happily and long enough to see many more.
Huyo ndio Kongosho?? Au ndio unataka kuchaguliwa na BADILI TABIA kati ya hao atakayekufaa??Hivi we BADILI TABIA, bado hujajua kuwa Kongosho alishanipiga chini? Hivi niko kwenye mchakato wa kutafuta mbadala. Nchagulie wa kumpa hiyo makitu.
Happy Birthday Kongosho. Mungu akubariki na kukulinda upate watoto wengi waizunguke meza yako wakati wa chakula cha mchana. Akulinde ili mpaka siku utakayo RIP wanao 12 waweke mishumaa 12 kwenye kaburi lako. Karibu kwenye chama chetu cha wanaolikimbilia kaburi.
BTW Ushaanza mazoezi ya kupunguza uzito? Presha si ugonjwa mzuri.
Hivi we BADILI TABIA, bado hujajua kuwa Kongosho alishanipiga chini? Hivi niko kwenye mchakato wa kutafuta mbadala. Nchagulie wa kumpa hiyo makitu.
Happy Birthday Kongosho. Mungu akubariki na kukulinda upate watoto wengi waizunguke meza yako wakati wa chakula cha mchana. Akulinde ili mpaka siku utakayo RIP wanao 12 waweke mishumaa 12 kwenye kaburi lako. Karibu kwenye chama chetu cha wanaolikimbilia kaburi.
BTW Ushaanza mazoezi ya kupunguza uzito? Presha si ugonjwa mzuri.