Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Kidume cha mbegu
Angel,hata wewe?
Kidume cha mbegu
Unataka kumfukuzia mke wa wenzio?! Ana waume wawili huyu jamani, kha!
Shosti kile kizizi cha yule mganga wa Mange Kimambi kimelipa eeh? Utanipeleka na mie basi!
konnie love,niaje weekend,washakuorozesha kwenye list ya wadanganyika au hawajakufikia? Kwangu sijawaona.
umeanza lini ukorofi??
sasa hivi natafuta mod
afu nina malalamiko, nakuja kwako.
Akuu, staki malalamiko mie. Bibi na bwana wakigombana mie navaa leggings naenda kupunga upepo wa kinyesi barabara ya osheni-rodi. Naogopa kusutwa!
(mseduce invisible akupenka-umod. Umeona Kaunga anasema ati sie tuna madongo? Nanuna in five minutes, kuna mtu namalizia kucheka nae hap)
alitaka kukukagua nini? Ungeniita nije nimgeche.amekuja hapa mmoja, akasema akanihesabie chumbani
kufika huko, akaanza kuhesabu viungo vya pilau.
alitaka kukukagua nini? Ungeniita nije nimgeche.
Ha ha ha ha ha, hapo bold nimecheka hadi basi
Una miguu ya kuvalia leggings wewe?? Ukute ya kijoti joti.
Nina pepo la ugomvi hadi basi, naomba nikukabidhi kwa wiki hii umfunde kidogo.
Kaunga ana lake jambo, na sasa tunaanza kuja na majiwe.