Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Mpelelezi wa tukio atakuwa OC-CID Nyani Ngabu:
Mahojiano:
Nn: Mtuhumiwa haki zako unazijua?
Bilionea bishanga: siongei chochote mpaka wakili wangu kloro awepo
Nn: sasa mbona unaongea?
Kongosho: unaulizwa na afande,mbona unaongea
Bilionea bishanga: hivi we mwanamke una nini na mimi mbona unanifuatafuata?
Nn: kwani mnafahamiana?
Bilionea bishanga: tangu utotoni,nilisoma naye uhuru mchanganyiko,kisha akaenda kisutu mi tambaza baadae tukakutana UDSM.
Nn: ya kweli konnie?
kongosho: afande, si hilo tu,hata bikra alintoa bishanga
NN: he?
Bilionea bishanga: unashangaa nini? Hata mkeo nilimuanza mie
Wacha valangati lifumuke,meza huko,viti huko,crown huko,ofisi nyanga nyanga.
Hahahahahhaha hahhahaahhhah!!!!hii ni topic mpya au..........!