mkomatembo
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 1,477
- 816
Jamani namuomba mkuu "Invisible" awatangazie wana JF popote pale walipo tukutane japo mara moja na kuweka historia. Ila itabidi katika mkutano huo kuwe hakuna pombe wala kitimoto! ili kila mmoja wetu ahudhurie , yaani kama kuna kina mimi na FaizaFoxy, wasabato , wayahudi ili muradi kutoa fursa kila mtu aweo.
Aidha Nategemea kuwa zile Avatar zitafanyakazi siku hiyo yaani kuwa kila mmoja sura yake itaonekana kama ilivo kwenye avator yake.
Ningependa sana kwanza kuonana na Dada FAizaFoxy maana najua watu wengi watakuwa wanamtafuta kwa hamu na kisura "Mwali" na Smile hawa nataka kujua wameolewa?.
Wengine ambao ningependa pia kuwaona katika sura zao za kwenye Avatar, nao ni :
Gozo, Majonzi, Juma kidogo, Matumbo, Washasha, Nitonye (Mh huyu sura yake jamani) Ritz, Rejeo (ha ha ha ) inaonesha huyu mbishi sana !
Aidha Nategemea kuwa zile Avatar zitafanyakazi siku hiyo yaani kuwa kila mmoja sura yake itaonekana kama ilivo kwenye avator yake.
Ningependa sana kwanza kuonana na Dada FAizaFoxy maana najua watu wengi watakuwa wanamtafuta kwa hamu na kisura "Mwali" na Smile hawa nataka kujua wameolewa?.
Wengine ambao ningependa pia kuwaona katika sura zao za kwenye Avatar, nao ni :
Gozo, Majonzi, Juma kidogo, Matumbo, Washasha, Nitonye (Mh huyu sura yake jamani) Ritz, Rejeo (ha ha ha ) inaonesha huyu mbishi sana !