Mtoa mada wa kwanza ni Ester Wasira
kumbe ndo ww pale!!
Esther wassira anaonyesha mwelekeo wa kisiasa katika hoja anazoelezea, mada inasema jukumu la vijana ktk kumuenzi Mwl. Nyerere ni tofauti kabisa na hisia anazoelezea! CHADEMA at work. Kwa style hii. Wasomi hawatusaidi bali ni kupotosha umma.