Mtu wa Mungu
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 444
- 19
Kwa zaidi ya mwezi sasa media zimetulisha kiasi cha kutuvimbisha akili habari za Loliondo-sijui taifa limefaidika nini zaidi ya kuchochea maafa ya wanaokufa kwa sababu ya kujazwa matumaini matupu (empty hopes) kwa kudhani ni imani ya uponyaji wa mungu asiyejulikana!!!
Kwa ratiba ya vikao vya bunge la Aprili , wiki ijayo (Aprili 7,2011) serikali ya ccm inaweka mbele ya wabunge mswada wa kuweka mchakato wa kuwapa waTz katiba mpya kwa staili ya serikali ya ****** na chama chake ya kupata katiba mpya ya kuwaongoza waTz kwa kipindi kingine cha miaka 50 ijayo!!!!!!!!
Kwa wale waliofuatilia kwa karibu sana kongamano la wasomi wa Chuo Kikuu cha Dsm , UDSM, ikiongozwa na UDASA, Jumamosi tarehe 2/4/2011, lililohudhuriwa pia na baadhi ya vyama vya siasa vilivyoalikwa, wakiwemo cdm,nccr, udp, cuf, ccm bila vigogo (waliingia mitini), kumezaliwa hisia nyingi zenye mwelekeo tofauti-wengine wakiona hii ni janja tu ya ccm na serikali yake ya kuwahadaa waTz kama walivyozoea kufanya na kutoka bila majeraha!!!!!!
Swali la msingi ni hili kwamba nani atatoka mshindi safari hii???? Kwenye uchaguzi wa Oktoba 2010 ****** na chama chake cha sisiemu walitoka washindi kwa kuchakachua matokeo!!!!!; je safari hii nani atatoka mshinda ???????? Great Thinkers hebu tupeni mtazamo na changamoto zilizo mbele yetu katika suala nyeti na la msingi kwa msitakabali wa taifa hili lenye kuongozwa na imani za kishirikina??????????????????!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kwa ratiba ya vikao vya bunge la Aprili , wiki ijayo (Aprili 7,2011) serikali ya ccm inaweka mbele ya wabunge mswada wa kuweka mchakato wa kuwapa waTz katiba mpya kwa staili ya serikali ya ****** na chama chake ya kupata katiba mpya ya kuwaongoza waTz kwa kipindi kingine cha miaka 50 ijayo!!!!!!!!
Kwa wale waliofuatilia kwa karibu sana kongamano la wasomi wa Chuo Kikuu cha Dsm , UDSM, ikiongozwa na UDASA, Jumamosi tarehe 2/4/2011, lililohudhuriwa pia na baadhi ya vyama vya siasa vilivyoalikwa, wakiwemo cdm,nccr, udp, cuf, ccm bila vigogo (waliingia mitini), kumezaliwa hisia nyingi zenye mwelekeo tofauti-wengine wakiona hii ni janja tu ya ccm na serikali yake ya kuwahadaa waTz kama walivyozoea kufanya na kutoka bila majeraha!!!!!!
Swali la msingi ni hili kwamba nani atatoka mshindi safari hii???? Kwenye uchaguzi wa Oktoba 2010 ****** na chama chake cha sisiemu walitoka washindi kwa kuchakachua matokeo!!!!!; je safari hii nani atatoka mshinda ???????? Great Thinkers hebu tupeni mtazamo na changamoto zilizo mbele yetu katika suala nyeti na la msingi kwa msitakabali wa taifa hili lenye kuongozwa na imani za kishirikina??????????????????!!!!!!!!!!!!!!!!!