Waandaaji hawatuambii professional qualifications za wazungumzaji wao, unashtukia tu mtu kaamka anasema anawakilisha maoni ya Wazanzibar kuhusu Muungano! Una qualifications gani wewe za kusimama mbele yetu kuongelea Katiba? Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba nae anasema, kuhusu Muungano, nia yao ni kuuboresha sio kuuvunja, unajuaje watu hawataki kuuvunja? Achia yafanyike majadiliano huru!
Hapa blue pearl hotelini nafasi ni nyingi, walio karibu na ubungo njooni, hapa wanagawa kitabu cha katiba ya zamani, kitabu cha sheria ya mabadiliko ya katiba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.