Kongamano kuuubwaa mjini TANGA LEO tar 3/4

Status
Not open for further replies.
Ndugu zangu katika Adam, mimi huwa nashindwa kuelewa tatizo liko wapi mpaka nchi iwe na mfumo kristo. mfumo huo upo wapi? mtujuze nasi tuelewe kwakuwa rais na makam wake ambao ndiyo viongozi wajuu kabisa ni waislam je mfumo huo kautengeneza nani?. wakati mwingine tunaweza kuwa tunakaa na kusikitika bila kujuwa tunadai nini. chamsingi tuwekeze kwenye elimu, tuhakikishe tunatoa elimu bora kwa vijana wetu siyo tu kuwapeleka shule kama zile tunazozifahamu shule zetu za kidini zinaishia kutoa wanafunzi wa daraja la 4. tuwatengenezee watoto wetu mazingira yatakayowafanya wasonge mbele.
 
Badala ya kuzungumzia namna ya kuendeleza mifumo halisi ya miundombinu kama barabara, maji, elimu, umeme, afya, nk wao wamekomalia nguvu zao kupiga domo la namna ya kuutekeza "mfumo kristo" ambao upo ndani ya mbongo zao..
 
Inawezekana kalenda yangu imeanza usanii,eti inaonesha tar.3/4/11 sasa si ni siku ya kazi au mkutano ni wa wazururaji? Mnampinga kristo?aliyekuambia mfumo wa sasa jk et all ni mfumo kristo? Mnacheza na adui ujinga na atawabembea mpaka uzeeni!
 
wapuuzi nyie. seems hamna kazi za kufanya. badala ya kujiendeleza mnang'ang'ania mifumo iwabebe, hup ni upumbafu!

kwa hiyo we umeendelea eti?
You guy are joking.if you dont have anything to say keep a zipper on your mouth.mnajifanya mko juu wakati ni zero.tena ukome
 
hili jambo si jema kujadiliwa humu tutakuja gombana bure.ndugu zangu waislamu acheni mada za kupandikiza chuki, uhuru gani muna dai na je hicho mnachodai ni kipi? mnataka mtoto wangu Juma agombane na Joseph wa mkristo tena majirani kwasababu ya chuki mnazolazimisha? jamani kuweni waelewe muitendee haki nchi hii nzuri, acheni mda za udini. Kama kweli hilo kongamano mada ndo hizo, mmefika mbali jamani mtamwaga damu pasipo ulazima na naomba washeik waelewa wawasidie, hiyo approch si nzuri hata kidogo.
 
Kongamano jema, lakn mtoe mada ni jinsi gani mtawaendeleza vijana wa kiislamu kielimu na pia itolewe mada ya kuboresha Chuo Kikuu cha Kiislamu kilichopo Morogoro ili kiweze saidia vijana wa kiislamu.

mbona mijitu ina vichwa vigumu?eti waboreshe morogoro,ivi kwa akili yako chuo hicho ni ajili ya waislamu pekee hakuna dini zingine wasomao hapo?ama mnadhani waislamu wanabagua .vyuo vya kikristo waislamu hawasomi?ama wakisomea vya kislam ndo wanaelimika?
Kujidai kusoma kumbe zero.haya fasta fasta taja profesa ama dr wa kikristo hata mmoja alietukuka kama kina isa shivj,hayati haroub othman,dr shen,bilali,omar al juma etc.
 
Tatizo hapa concentration ya ile elimu yetu niulize ulimwona na hata kumsikia msomi wa kweli anazungumzia mambo haya ya mifumo dini? Kwanza atapata wapi mda wa kuendeleza nchi na muda wa kuzungumzia mfumo dini mimi nadhani tuwaache tuu tumeshawazoea.maana ilinenwa ya kwamba utalazimika kuijua kweli na hyo kweli itakuweka huru.
 
Badala ya kuzungumzia namna ya kuendeleza mifumo halisi ya miundombinu kama barabara, maji, elimu, umeme, afya, nk wao wamekomalia nguvu zao kupiga domo la namna ya kuutekeza "mfumo kristo" ambao upo ndani ya mbongo zao..

kijana hujui ulisemalo,kongamano haki yao kama kuna mtu anaöna wanaongea utumbo ni juu yake kucrush hoja zao by hoja,step by step mtu akikimbilia insult na mazarau ujue unachochea badala ya kuzima moto.
Hoja kama kwa nini makanisa wapewe mabilion ya walipakodi bila maelezo ya kutosha inatakiwa majibu si blabla za eti kasomeni,
WATU WAMESOMA NA HAWANA HAJA ya kujitapa kama nyie
 
Tatizo hapa concentration ya ile elimu yetu niulize ulimwona na hata kumsikia msomi wa kweli anazungumzia mambo haya ya mifumo dini? Kwanza atapata wapi mda wa kuendeleza nchi na muda wa kuzungumzia mfumo dini mimi nadhani tuwaache tuu tumeshawazoea.maana ilinenwa ya kwamba utalazimika kuijua kweli na hyo kweli itakuweka huru.

ok,ok,sasa nimeelewa kwa hiyo wasomi wa ukweli wako busy kuendeleza nchi,good news thanx.swali.wako wapi hao wa ukweli na ni kina nani tukajifunze kwa vitendo.na hayo maendeleo yako wapi ama unamsema Ramadhan dau wa nccf maana at least wao yao twayaona.
Ukweli ni kwamba tuache madharau kwa wengine
 
Haya leo tena kutakuwa na kongamano la kitaifa mjini tanga viwanja vya TANGAMANO KUANZIA SAA MBILI ASUBUHI HADI SAA SITA. Mada athari za mfumo kiristo TZ, HARAKATI ZA UHURU TZ, katiba mpya nk. Masheikh wote maarufu watakuwepo, PIA LITARUSHWA LIVE KUPITIA RADIO IMAAN ambayo inasikika nchi nzima. Nyote mwakaribishwa tuwe pamoja kupambana na mfumo huu wa kibaguzi tz hadi tuutokomeze.
Nalazimika kuifunga thread kutokana na maudhui yake kwenda nje ya kanuni na sheria za JF.
Mijadala ya dini katika siasa ni mtego mbaya sana kwa jamii. Unaweza ukawa na nia njema kuwahabarisha watu lakini siyo kila mtu anaweza kuelewa unachotaka aelewe.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom