Hawa ni Redio Imani,redio ya Waislamu iliyojaa rongorongo na UDINI wa kubagua dini nyingine hasa Ukristo.
Sina muda wa KUHUDHURIA wala KUSIKILIZA upuuzi utakaozungumzwa pale. Watu watakaochangia naamini ni MASHEIKH na MAMUFTI ambao upeo wao katika nyanja nyingi ni finyu sana.
Ni bora ungeenda kusikiliza ili u-prove kama wanabagua wakristo??Hawa ni Redio Imani,redio ya Waislamu iliyojaa rongorongo na UDINI wa kubagua dini nyingine hasa Ukristo.
Sina muda wa KUHUDHURIA wala KUSIKILIZA upuuzi utakaozungumzwa pale. Watu watakaochangia naamini ni MASHEIKH na MAMUFTI ambao upeo wao katika nyanja nyingi ni finyu sana.