Simeon, sidhani kama kuna ukweli wowote wa kisayansi. Labda ni imani tu, hata mimi nimeshasikia saana kuhusu mambo haya lakini hadi leo hii sijathibitisha.je kuna ukweli wowote wa kisayansi kuwa kondoo huwa anapigana na radi?na ukivaa nguo nyekundu utapigwa radi?au ni mapokeo tu?