upele
JF-Expert Member
- Mar 3, 2010
- 364
- 31
napenda kuuliza wana jf kuhusu kondom ni mzuri kwa afya kwani nimekuwa nikitumia kwa wangu nachelewa sana kuliko dry kama wasemavo vijana,imekuwa nikitumia hisia sana katika tendo kwani huwa naona tofauti nitumiapo mpaka tunaamua kutoa,so nijuzeni inamadhara gani.
Conquest-all created by human being has negative effect than nature
Conquest-all created by human being has negative effect than nature