Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu ninapokuwa nimeitumia Laptop yangu nikii-command kuzima inachukua hata nusu saa imeonyesha kile ki-alama cha kuwa iko busy, mpaka nalazimika kuizima kwa kui-buti. Je tatizo ni nini na nawezaje kulitatua?
ni vizuri kuwa specific tunapokuwa tunaelezea tatizo.PROBLEM Definition isipokuwa ya kueleweka utapata majibu ya kubahatisha.
Mfano OS ya laptop yako ni nini na ni version gani? Unaweza kupewa jibu la OS ya Ubuntu version 10 kumbe wewe unatumia Windows Xp au umesitall Windows Server 2000
Tukija kwenye isseues yako
Umefanya mabadaliko ya kuinstall hardware or software gani kabla ya hilo tatizo.?
Ushauri jaribu kutafuta program za kufanya registry cleaner kama unatumia windows
Kwa kweli sijaelewa tatizo lako lakini naamini jibu lipo wazi...Hiyo alama ya kuwa iko buys inaonekana wapi?ukiwa unazima unazimaje?Kuna kubonyeza kwenye power kwa lazima na kuna kutumia taratibu zilizo weka kama start then shut down(I hope Hapa ndio unapata tatizo sasa hapa unaona nini?The tukupe solution ya jumla.
Registry Cleaner kama unaelewa jinsi ya kuitumia, itaweza kutatua hiyo issue, yaelekea kuna background programs nyingi zipo on. Utaweza kuziondoa program ambazo hazihitajiki na vile kwa kutumia hiyo Registry Cleaner ( CCleaner available on free hapa: Download CCleaner 2.32.1165 - FileHippo.com
Utaweza pia kuondoa takataka ( broken dll. and the likes ) .....kazi kwako.
Mkuu naona siku hizi vya bure hakuna....Bei ni USD 30.