Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
Habari zenu wana technology,ni hivi nataka ku start biashara za mitandaoni,namaanisha nataka kuanza blogs zangu zitakazonipa mahela,lakini bado sijajua ni kompyuta gani latest(pentium)nzuri na zenye sifa zipi ni nzuri kwa kuanza hii biashara au hata kuimiliki,namaanisha kuhusu mambo ya hard drive ziwe na GB ngapi na nataka kuwa na wireless connection.
je? natakiwa kununua nini hapa Welcome to iBurst uki click (get iBurst)hii ni link ktk web hiyo itakuletea modem\antenna na router,naomba msaada wenu wakuu ili nisife njaa.
je? natakiwa kununua nini hapa Welcome to iBurst uki click (get iBurst)hii ni link ktk web hiyo itakuletea modem\antenna na router,naomba msaada wenu wakuu ili nisife njaa.