Nimeshangaa kusoma kwenye gazeti leo kumbe laptop inaitwa kompyuta mpakato lol!
nami ndio nasoma hapa kwako kaka!
Sijawahi,miaka yote naskia laptp kwa kiswahili au kiingereza leo ni mara ya kwanza kusikia neno hili.Ulikuwa hujawahi kusikia ikiitwa hivyo?
Mambo Dena longtime no see.Kiswahili kigumu sana ndo naona saa hizi
Mambo Dena longtime no see.
Hahaha! niliwatapeli watu ikabidi nibadili namba lol! nitakutumia ingine kwenye PM sasa hivi pole kwa usumbufu rafiki.Wewe umebadili namba ya simu tutaonanaje??
Niko mzima kabisa mie
Nimeshangaa kusoma kwenye gazeti leo kumbe laptop inaitwa kompyuta mpakato lol!
nami ndio nasoma hapa kwako kaka!japo PAKATA sio neno zuri kabisa!kweli kiswahili kinapwaya!
Hahaha! niliwatapeli watu ikabidi nibadili namba lol! nitakutumia ingine kwenye PM sasa hivi pole kwa usumbufu rafiki.
Nimeshangaa kusoma kwenye gazeti leo kumbe laptop inaitwa kompyuta mpakato lol!
Naona hapa chini hata kompyuta ni kosa eti ni Ngamizi kwahiyo ya mezani itaitwa Ngamizi meza lol!Shem usalama upo?hi mpakato ndio naijulia kwako,na zile desk top zinaitwaje!hiki kiswahili jaman!
Ngamizi mpakato neno kompyuta lenyewe si kiswahili
Naona hapa chini hata kompyuta ni kosa eti ni Ngamizi kwahiyo ya mezani itaitwa Ngamizi meza lol!
Naona hapa chini hata kompyuta ni kosa eti ni Ngamizi kwahiyo ya mezani itaitwa Ngamizi meza lol!
Kama taifa tayari tumeshawachanganya watoto wetu,darasa la 1-7 kiswahili,form 1-4 kiingereza,inabidi kama taifa tuamue kiswahili mpaka chuo kikuu au kiingereza kianze darasa la kwanza kama jirani zetu Malawi,Zambia,Uganda na Kenya.Khaaaaaa!mie napata ugwadu kutamka ngamizi lol!mie nitaendelea na nilivozoea bana!unaweza tamka mbele ya watoto ndio ukawachanganya kbs!