Elections 2010 Kombora la Mbatia kwa Marando na Slaa ni kweli hawafai kuwa viongozi

Jicholangu

New Member
Sep 23, 2010
2
0
Mbatia amefichua marando alimvyodanya marehemu MAMA yake, alivyoiba mali za chama NCCR Mageuzi, alivyokitelekeza Chama , na sasa ni mtetezi na wakili wa mafisadi. Kama wewe ni msomaji mzuri wa gazeti lamajira la Jumapili ya tarehe 26 Sept 2010 utagundua kwamba anachotutaadharisha mbatia ni muhimu kwa watanzania wote maana NCCR ilisarambaratishwa na Marando na sasa masikini Dr Slaa tayari ameingizwa mkenge, maana michango yote ambayo marando anaitoa hapo Chadema anapewa na mafisadi, ebu jiulize moja ni fisadi wa kanisani na mwingine ni fisadi wa mahakamani vipofu wawili wanaweza kujiongoza na shimo lipo mbele la hasha watatumbukia wote, ushauri wa bure tuachane nao SLAA NA Marando.

Mgombea mzuri ni Dr Jakaya Mrisho Kikwete na mshauri mzuri ni KANALLI (MST) Kinana kama ilivoandika katika kitabu cha Joshua kwamba yeye na familia yake watamfuata Mungu mimi na familia yangu tutamfuata Mungu na kura kwa Kikwete
 
Mbatia amefichua marando alimvyodanya marehemu MAMA yake, alivyoiba mali za chama NCCR Mageuzi, alivyokitelekeza Chama , na sasa ni mtetezi na wakili wa mafisadi. Kama wewe ni msomaji mzuri wa gazeti lamajira la Jumapili ya tarehe 26 Sept 2010 utagundua kwamba anachotutaadharisha mbatia ni muhimu kwa watanzania wote maana NCCR ilisarambaratishwa na Marando na sasa masikini Dr Slaa tayari ameingizwa mkenge, maana michango yote ambayo marando anaitoa hapo Chadema anapewa na mafisadi, ebu jiulize moja ni fisadi wa kanisani na mwingine ni fisadi wa mahakamani vipofu wawili wanaweza kujiongoza na shimo lipo mbele la hasha watatumbukia wote, ushauri wa bure tuachane nao SLAA NA Marando.

Mgombea mzuri ni Dr Jakaya Mrisho Kikwete na mshauri mzuri ni KANALLI (MST) Kinana kama ilivoandika katika kitabu cha Joshua kwamba yeye na familia yake watamfuata Mungu mimi na familia yangu tutamfuata Mungu na kura kwa Kikwete

hivi ukipewa adhabu ya kifo utasema watu wanakuonea??
 
wewe na familia yako mtafuata majini ya shehe yahaya, siyo Mungu. Tafadhali!
 
Mbatia amefichua marando alimvyodanya marehemu MAMA yake, alivyoiba mali za chama NCCR Mageuzi, alivyokitelekeza Chama , na sasa ni mtetezi na wakili wa mafisadi. Kama wewe ni msomaji mzuri wa gazeti lamajira la Jumapili ya tarehe 26 Sept 2010 utagundua kwamba anachotutaadharisha mbatia ni muhimu kwa watanzania wote maana NCCR ilisarambaratishwa na Marando na sasa masikini Dr Slaa tayari ameingizwa mkenge, maana michango yote ambayo marando anaitoa hapo Chadema anapewa na mafisadi, ebu jiulize moja ni fisadi wa kanisani na mwingine ni fisadi wa mahakamani vipofu wawili wanaweza kujiongoza na shimo lipo mbele la hasha watatumbukia wote, ushauri wa bure tuachane nao SLAA NA Marando.

Mgombea mzuri ni Dr Jakaya Mrisho Kikwete na mshauri mzuri ni KANALLI (MST) Kinana kama ilivoandika katika kitabu cha Joshua kwamba yeye na familia yake watamfuata Mungu mimi na familia yangu tutamfuata Mungu na kura kwa Kikwete

Ndiyo wale wale mapandikizi wa mafisadi! Wanazidi kuongezeka kwa kasi kubwa kila kukicha.
 
Mbatia amefichua marando alimvyodanya marehemu MAMA yake, alivyoiba mali za chama NCCR Mageuzi, alivyokitelekeza Chama , na sasa ni mtetezi na wakili wa mafisadi. Kama wewe ni msomaji mzuri wa gazeti lamajira la Jumapili ya tarehe 26 Sept 2010 utagundua kwamba anachotutaadharisha mbatia ni muhimu kwa watanzania wote maana NCCR ilisarambaratishwa na Marando na sasa masikini Dr Slaa tayari ameingizwa mkenge, maana michango yote ambayo marando anaitoa hapo Chadema anapewa na mafisadi, ebu jiulize moja ni fisadi wa kanisani na mwingine ni fisadi wa mahakamani vipofu wawili wanaweza kujiongoza na shimo lipo mbele la hasha watatumbukia wote, ushauri wa bure tuachane nao SLAA NA Marando.

Mgombea mzuri ni Dr Jakaya Mrisho Kikwete na mshauri mzuri ni KANALLI (MST) Kinana kama ilivoandika katika kitabu cha Joshua kwamba yeye na familia yake watamfuata Mungu mimi na familia yangu tutamfuata Mungu na kura kwa Kikwete

Kwako wewe anachosema Mbatia ni 'gospel truth' au ukisikia tu maoni ya mtu mmoja kuhusu mwingine inakuwa kweli? You've to corroborate Mbatia's allegation with independent evidence.
 
Mbatia amefichua marando alimvyodanya marehemu MAMA yake, alivyoiba mali za chama NCCR Mageuzi, alivyokitelekeza Chama , na sasa ni mtetezi na wakili wa mafisadi. Kama wewe ni msomaji mzuri wa gazeti lamajira la Jumapili ya tarehe 26 Sept 2010 utagundua kwamba anachotutaadharisha mbatia ni muhimu kwa watanzania wote maana NCCR ilisarambaratishwa na Marando na sasa masikini Dr Slaa tayari ameingizwa mkenge, maana michango yote ambayo marando anaitoa hapo Chadema anapewa na mafisadi, ebu jiulize moja ni fisadi wa kanisani na mwingine ni fisadi wa mahakamani vipofu wawili wanaweza kujiongoza na shimo lipo mbele la hasha watatumbukia wote, ushauri wa bure tuachane nao SLAA NA Marando.

Mgombea mzuri ni Dr Jakaya Mrisho Kikwete na mshauri mzuri ni KANALLI (MST) Kinana kama ilivoandika katika kitabu cha Joshua kwamba yeye na familia yake watamfuata Mungu mimi na familia yangu tutamfuata Mungu na kura kwa Kikwete

Kila mtu ana haki ya kuwa na maoni yake na mi naheshimu maoni yako mkuu,ila na swali moja muhimu:
- Kama Mbatia hajanunuliwa na mafisadi kwa nini anagombania jibo la kawe na kusambaratisha nguvu za upinzani hususan kwa Halima Mdee? Maana kinachoonekana wazi ni kuwa anafanya kazi ya kubomoa upinzani huko na si kujenga mshikamano. Huu ndo ukweli wenyewe, kwa hiyo nadhani angetoa kwanza boriti katika jicho lake... baada ya hapo tuendelee na mjadala wa Marando.
 
Wewe Jicholangu umelogwa au ??? mambo ya familia hapa yanatuhusu nini? Acha kutukoroga na habari zako zisizo na mguu wala kichwa
 
Mbatia amefichua marando alimvyodanya marehemu MAMA yake, alivyoiba mali za chama NCCR Mageuzi, alivyokitelekeza Chama.

Mgombea mzuri ni Dr Jakaya Mrisho Kikwete na mshauri mzuri ni KANALLI (MST) Kinana kama ilivoandika katika kitabu cha Joshua kwamba yeye na familia yake watamfuata Mungu mimi na familia yangu tutamfuata Mungu na kura kwa Kikwete
Huyu mbatia ndo alivilaumu vyama vya upinzani pale jangwani kuwa vinasema mambo binafsi ya watu, leo anakuja na kudai marando alimdanganya marehemu mama yake. Je, mambo hayo ya mama yake si ya binafsi. MBATIA KAPANDIKIZWA
Na wewe ndugu acha kutumia kitabu kitakatifu kwa upuuzi wako, Mungu hadhihakiwi. kIKWETE ANALINDWA NA NGUVU ZA GIZA
 
sina haja ya kujua lililosemwa ni kweli au si kweli ila nashindwa kujua motives za viongozi wa hivi vyama vya upinzani,hakika hiki ndcho kilikuwa kipindi muafaka cha kuungana na kuing'oa CCM lakini nashindwa kuelewa kwa nini hawatake advantage ya CCM kuelemewa na wao kustrike a killing blow

wacha tuazime maneno ya shakespeare: There is a tide in the affairs of men.
Which, taken at the flood, leads on to fortune;
sasa wacha wao wakae walumbane badala ya kuwa wamoja, kweli vita vya panzi furaha kwa kunguru
 
Jinsi ulivyotoka kwenye hoja za akina Mbatia na Marando na kwenda kwa Kikwete, hamna connection yoyote!
 
Mbatia amefichua marando alimvyodanya marehemu MAMA yake, alivyoiba mali za chama NCCR Mageuzi, alivyokitelekeza Chama , na sasa ni mtetezi na wakili wa mafisadi. Kama wewe ni msomaji mzuri wa gazeti lamajira la Jumapili ya tarehe 26 Sept 2010 utagundua kwamba anachotutaadharisha mbatia ni muhimu kwa watanzania wote maana NCCR ilisarambaratishwa na Marando na sasa masikini Dr Slaa tayari ameingizwa mkenge, maana michango yote ambayo marando anaitoa hapo Chadema anapewa na mafisadi, ebu jiulize moja ni fisadi wa kanisani na mwingine ni fisadi wa mahakamani vipofu wawili wanaweza kujiongoza na shimo lipo mbele la hasha watatumbukia wote, ushauri wa bure tuachane nao SLAA NA Marando.

Mgombea mzuri ni Dr Jakaya Mrisho Kikwete na mshauri mzuri ni KANALLI (MST) Kinana kama ilivoandika katika kitabu cha Joshua kwamba yeye na familia yake watamfuata Mungu mimi na familia yangu tutamfuata Mungu na kura kwa Kikwete

Bwana mdogo unamjua Mbatia vizuri lakini ama umeanza kumsikia akiwa NCCR-Mageuzi?. Tuulize tuliyesoma naye Tambaza High School tutakuambia Mbatia ni nani na yukoje kitabia, maadili, kiafya na msimamo.

Mbatia ni NYOKA wa vichwa viwili, anauma huku na kupuliza huku. Hakuna aliyeweza kuwa rafiki na Mbatia katika darasa letu pale Tambaza (PCM), ni mtu muongo, mtaka sifa kwa gharama yoyote, pia anapenda kujipendekeza ili kutafuta umaarufu. Kibaya zaidi ana umbo la kiume lakini ana tabia za akina Dada (Ashakumu si matusi)
 
Mbatia amefichua marando alimvyodanya marehemu MAMA yake, alivyoiba mali za chama NCCR Mageuzi, alivyokitelekeza Chama , na sasa ni mtetezi na wakili wa mafisadi. Kama wewe ni msomaji mzuri wa gazeti lamajira la Jumapili ya tarehe 26 Sept 2010 utagundua kwamba anachotutaadharisha mbatia ni muhimu kwa watanzania wote maana NCCR ilisarambaratishwa na Marando na sasa masikini Dr Slaa tayari ameingizwa mkenge, maana michango yote ambayo marando anaitoa hapo Chadema anapewa na mafisadi, ebu jiulize moja ni fisadi wa kanisani na mwingine ni fisadi wa mahakamani vipofu wawili wanaweza kujiongoza na shimo lipo mbele la hasha watatumbukia wote, ushauri wa bure tuachane nao SLAA NA Marando.

Mgombea mzuri ni Dr Jakaya Mrisho Kikwete na mshauri mzuri ni KANALLI (MST) Kinana kama ilivoandika katika kitabu cha Joshua kwamba yeye na familia yake watamfuata Mungu mimi na familia yangu tutamfuata Mungu na kura kwa Kikwete

nasikia ni bwabwa huyu sasa anabwabwaja
 
Inasikitisha kuona mtu kuwa nyuma ya mtu ambaye tumetangaziwa kuwa ana ulinzi wa majini. Majini yana mashariti nayo ni kupata damu, msishangae kuona umwagaji damu kwa njia zozote zile kwani itakuwa ni kafara kwa ajili ya ulinzi wa JK; Ila kwa maombi ya wacha Mungu hayatapata hiyo damu na mwisho yatanyonya ya aliyeyatuma na watoto wao. Msishangae kuona kabla ya uchaguzi anaanguka jumla na kutangaziwa kuhairisha uchaguzi kwa ajili ya kumpata mgombea mwingini. Acha kushabikia wanaotegemea nguvu za giza kutawala nchi.
 
Bwana mdogo unamjua Mbatia vizuri lakini ama umeanza kumsikia akiwa NCCR-Mageuzi?. Tuulize tuliyesoma naye Tambaza High School tutakuambia Mbatia ni nani na yukoje kitabia, maadili, kiafya na msimamo.

Mbatia ni NYOKA wa vichwa viwili, anauma huku na kupuliza huku. Hakuna aliyeweza kuwa rafiki na Mbatia katika darasa letu pale Tambaza (PCM), ni mtu muongo, mtaka sifa kwa gharama yoyote, pia anapenda kujipendekeza ili kutafuta umaarufu. Kibaya zaidi ana umbo la kiume lakini ana tabia za akina Dada (Ashakumu si matusi)

Mimi pia namfahamu vizuri sana Mbatia, tukiwa pale mlimani, ni mnafiki na mwongo. Leo tunaweza kuona wanamgeuzi wa kweli. Na ole wao wasaliti wa mageuzi, mapinduzi yakija hawataachwa wakitesa.
 
Halafu Mbatia anafanya kosa lilelile la Makamba kuingiza masuala ya maisha binafsi.Hivi hajui kama yeye naishi kwenye nyumba ya vioo,na wahenga walishasema aishiye kwenye nyumba ya vioo asirushie mawe wenzie?Akiendeleza habari hizi basi si ajabu akajikuta wanaojua kuhusu sexuality yake nao wakaanza kumwaga mchele kwenye kuku wengi.
 
Mgombea mzuri ni Dr Jakaya Mrisho Kikwete na mshauri mzuri ni KANALLI (MST) Kinana kama ilivoandika katika kitabu cha Joshua kwamba yeye na familia yake watamfuata Mungu mimi na familia yangu tutamfuata Mungu na kura kwa Kikwete

Acha blasphemy !
 
Back
Top Bottom