Tripo9 JF-Expert Member Sep 9, 2009 4,352 3,533 May 5, 2012 #21 Game ova. Liva 1 Chelc 2. Chlc wins th FA cup
P punainen-red JF-Expert Member Nov 18, 2010 1,731 450 May 5, 2012 #22 Yaani Liver kupiga kamoja tu woote mmekaa kimya?? Pigeni kelele bana- bado mnaongoza!
Swts JF-Expert Member Feb 5, 2012 3,062 1,292 May 5, 2012 #23 Ucku mwema kwa Chelsea ..dmateo kalamba bingo
dubu JF-Expert Member Oct 18, 2011 3,496 3,461 May 5, 2012 #25 liva wanatusafishia njia. thank you chelsea.
LiverpoolFC JF-Expert Member Apr 12, 2011 11,348 3,219 May 5, 2012 Thread starter #26 Elli said: Afadhali tumeshindaaaaa Click to expand... Jumanne ijayo mtatukoma kwa kweli! Ila bado nina hofu ya marefa kuwabeba chelsea kwn lile bao la Andy Crl nina hofu itamhusu refa
Elli said: Afadhali tumeshindaaaaa Click to expand... Jumanne ijayo mtatukoma kwa kweli! Ila bado nina hofu ya marefa kuwabeba chelsea kwn lile bao la Andy Crl nina hofu itamhusu refa
Dark City JF-Expert Member Oct 18, 2008 16,253 11,598 May 5, 2012 #27 LiverpoolFC said: Jumanne ijayo mtatukoma kwa kweli! Ila bado nina hofu ya marefa kuwabeba chelsea kwn lile bao la Andy Crl nina hofu itamhusu refa Click to expand... Kaka wewe kubali yaishe......!!!
LiverpoolFC said: Jumanne ijayo mtatukoma kwa kweli! Ila bado nina hofu ya marefa kuwabeba chelsea kwn lile bao la Andy Crl nina hofu itamhusu refa Click to expand... Kaka wewe kubali yaishe......!!!
ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,555 May 5, 2012 #28 Mtanzanika said: jaman goli c goli? Click to expand... kawa ulize spurs kwenye semi final..
LiverpoolFC JF-Expert Member Apr 12, 2011 11,348 3,219 May 5, 2012 Thread starter #29 Dark City said: Kaka wewe kubali yaishe......!!! Click to expand... Kamanda nimesha kubali matokeo! Asiye kubali kushindwa si mshindani! Hata hivyo bado ninataka nimpe kocha KD lawama ya kutofanya maamuzi ya mapema! Ila yote ya yote nimekubaliana na yote!
Dark City said: Kaka wewe kubali yaishe......!!! Click to expand... Kamanda nimesha kubali matokeo! Asiye kubali kushindwa si mshindani! Hata hivyo bado ninataka nimpe kocha KD lawama ya kutofanya maamuzi ya mapema! Ila yote ya yote nimekubaliana na yote!
LiverpoolFC JF-Expert Member Apr 12, 2011 11,348 3,219 May 8, 2012 Thread starter #30 Bila shaka hawa The Corks ni wakati wa kuwarudishia washabiki heshima. Na bila shaka ubao utasomeka L'pl 3 Chls 1 You will never walk alone!!
Bila shaka hawa The Corks ni wakati wa kuwarudishia washabiki heshima. Na bila shaka ubao utasomeka L'pl 3 Chls 1 You will never walk alone!!
LiverpoolFC JF-Expert Member Apr 12, 2011 11,348 3,219 May 8, 2012 Thread starter #31 Pamoja na kutokuwepo kwa kiungo mkongwe wa club hii,hakika haijalishi kwani hawa chelsea ni wa kuwapiga pingu tu.
Pamoja na kutokuwepo kwa kiungo mkongwe wa club hii,hakika haijalishi kwani hawa chelsea ni wa kuwapiga pingu tu.