BABU CHONDO
JF-Expert Member
- Jun 6, 2011
- 855
- 139
Kweli hii harusi gharama yake ni kiduchu kweli.
Vipi wewe umeshaolewa mara ngapi na umepanga kuolewa mara ngapi....Hii thread naona imejaa Uchagga mwingi! Huyo mwanamke si Joyce Kilia ndoa ya ngapi tena anafunga.
Nakumbuka ndoa yake mimi nilipewa mualiko aliolewa na Dj Nerry wa Clouds FM. Duu! Hii kali
Angalia na wewe utaolewa na chadema...CDM bana wanapenda sana kupora wake za watu, huyu mwanamke alishafunga ndoa na Mtangazaji wa Clouds FM, anaitwa Dj Nerry
Ni muuza sura wa BAVICHAmwenye kumfahamu bwana harusi...ni nani huyo?
Ni mwenyekiti bavicha Kinondoni...alitupa masada mkubwa sana kwenye jimbo letu hapa Arusha...mwenye kumfahamu bwana harusi...ni nani huyo?
Mrs Lema bana!Angalia na wewe utaolewa na chadema...
tatizo lako una penda wanaume wa Chadema na mkapa tukupe mimba...Ni muuza sura wa BAVICHA
Unasifia wakati ndoa aina baraka za Kanisa wala aina UpakoVerry goooood!;