pdidy ... Hii harusi ni wapi imefanyika ndugu yangu ... Tujuze pia hawa maharusi ni kina nani
au una hangover
haya bana ... Pdidy upo juu kwa mambo ya intelijensia
nashukuru
mkuu lat
mambo ya lunch hayo tunajaribu kupunguza uzito..ila mkuu ukioa naomba anipe tenda ya kombati za chadema mpwa niko nyuma yako kwa ili kama ushaoa basi ndoa ya pili usinisahau nisirudi kiraracha kabla ya muda wangu bana..unajua wachaga wanarudi kijijini wakiwa kwenye double coaster sasa ukinirudisha kwenye msae ama kilimanjaro ni hatari zaidi nipe dili mpwa
<br />duhu, chadema bana.
akutumie kadi ya chama ama??mkuu nimetuma ombi kwa mhusika naona not richabo subiri akitoka fungate mpwa ni vigezo na masharti vinafanya kutokuwepo majina yao bila ruksa kila la kheri na wewe ukioa kwa style hii ni pm picha zako
ila kama utaitaji mishono na design plse pm fasta ama tuma denismandia@yahoo .com kwa ujasiriamali zaidi
HAPA BINTI ANAMWAMBIA NTAKUFA NA WEWE CHADEMA MPAKA MWISHO WA UHAI WANGU HNY ILA WALE VIDOSSHO WA VITIMAALUM
NISIONE MSG ZAO OVYO PLS
MAMBO YA TAI YAMEPITWA NA WAKATI NYIE MABRONZO ONA NDOA ILIVYOONDOKA SIMPLE WATU WASHAANZA KULA TUNDA KILA HALALI UITAJI UENDE PARADISE
KILA LAKHERI
we umenifanya nicheki wewe hutaki kupanda hizo metro,bufalo,kilimanjaro,mtei,dar express unatka tu kupanda double coaster tena usiku kweli hapo ndo umenichekeshamkuu lat
mambo ya lunch hayo tunajaribu kupunguza uzito..ila mkuu ukioa naomba anipe tenda ya kombati za chadema mpwa niko nyuma yako kwa ili kama ushaoa basi ndoa ya pili usinisahau nisirudi kiraracha kabla ya muda wangu bana..unajua wachaga wanarudi kijijini wakiwa kwenye double coaster sasa ukinirudisha kwenye msae ama kilimanjaro ni hatari zaidi nipe dili mpwa
Mkuu Malaria sugu,hiyo ndiyo chadema....chama la ukweli. karibu tujumuikeduhu, chadema bana.
Hii thread naona imejaa Uchagga mwingi! Huyo mwanamke si Joyce Kilia ndoa ya ngapi tena anafunga.
Nakumbuka ndoa yake mimi nilipewa mualiko aliolewa na Dj Nerry wa Clouds FM. Duu! Hii kali