Msarendo
JF-Expert Member
- Jan 29, 2011
- 10,477
- 6,428
Kweli huku ni kujikomba, alitegemea nchi zote zitakuwa na ukubwa sawa wa eneo?hell is the place he deserve,..............poor komba,lakn kule kwetu komba lina maana ya mtu mjinga na anayependa kujikomba kwa watu.
<br />Kwani keshaamka?<br />
<br />
<img src="http://1.bp.blogspot.com/-0t-A6duP0JA/TVwK5yxoDfI/AAAAAAAAEs0/vKiWhTOyJbo/s400/komba1.jpg" border="0" alt="" />
<br />
<br />
Inamaaana kwao hakuna vitanda mpaka wanakuja kulala humu?
Khaaa! Huyu amekunja mpaka 4? Daaah kweli bungeni raha. Akiamka hapo anasema wapinzani warudishe posho walizochukua miaka mi 5 iliyopita!.. Hehehehe kumbe kaoteshwa!
Hahaha! Ndiyoooo!<br />
<br />
anawaza posho.
data zipi unazokataKomba amesema bungeni leo ya kwamba barabara za rami tanzania ukizipeleka uganda au kenya nchi hizo zitakuwa na rami hadi vyooni! kwamba tusilalame!hoja za kweli hizi?mwenye data atusaidie!
Watu kama komba ndio wamenisababisha nipigwe bann ya milele maana mm nakuwaga na hasira sn nikichangiaga mada kama hizi. Naombeni nipite id yangu mpya bado naipenda.
Kina mama nao hawapo nyuma.........