Historia ya Komandoo Tarimo

Mimi namkumbuka komando halisi TAMIM!! Wangapi mnamkumbuka huyu na alifanya nini? Hint: Unamkumbuka uncle Tom? Haya vijana somo la historia ya nchi yenu, waulizeni wazee wenu waliohai!!

Yap! Hao ndo walikuwa makomandoo
 
Uncle Tom alipigwa risasi na kuuawa siku moja kabla ya siku ambayo yangefanyika mapinduzi ya serikali ya Tanganyika.

Baada ya maiti yake kupekuliwa alikutwa na karatasi yenye majina ya viongozi mbalimbali wa jeshi pamoja na mawasiliano yao jambo ambalo liliwatia mashaka wana Usalama maana uncle Tom alikuwa most wanted na ilikuwa ishatolewa amri ya kukamatwa au kuuawa pale atakapoonekana ndani ya Tanganyika.

Ndipo ukaanza msako wa kukamata kila aliyeonekana kwenye ile karatasi na mpango mzima wa mapinduzi kuwa wazi....

hii stori tamu sana, najuta kuwa mkimbizi, yote siku yafahamu awali bali kwa msaada wa JF angalau napata kamwanga kidigo
 
Hakuna komandoo dunia hii anaitwa Tarimo...kina Tarimo wafanya biashara Arusha na Mwanza. Ukomandoo wapi na wapi?
 
Mimi namkumbuka komando halisi TAMIM!! Wangapi mnamkumbuka huyu na alifanya nini? Hint: Unamkumbuka uncle Tom? Haya vijana somo la historia ya nchi yenu, waulizeni wazee wenu waliohai!!

Mimi nafikili alikuwa anataka kuzungumzia kuhusu TAMIM siyo TARIMO, sasa kam hajuhi jina lake anawezaje kuandika chochote kuhusu huyu jamaa!1
 
Naikumbuka sana ile kesi ya uhaini, mwaka 1985. Walikuwa wanatoa kwenye magazeti mabishano kati ya jamhuri na wakili wa washtakiwa, wakili maarufu sana wa wakati ule Murtaza Lakha.
 
Wadau niko njiandaa kuandika historia ya komandoo wa kitanzania aliye kuwa akitwa Tarimo, kijana huyu alipata mafunzo yake kule Cuba, na baadae kurejea nyumbani Tanzania.

Je kuna mtu awaye yeyote mwenye ufahamu wa ili Jambo? naomba michango yenu zaidi.

project yako iliishia wapi ndugu...
 
Back
Top Bottom