Hiki kikundi kilizuka wakati ule kilipotelea wapi? nakumbuka mkuu wao alkuwa anaitwa jenerali nyau..sijui nae yuko wapi siku hizi...hiki kikundi kama ingekuwa sasa hivi tungeambiwa wametumwa na chadema....
Hiki kikundi kilizuka wakati ule kilipotelea wapi? nakumbuka mkuu wao alkuwa anaitwa jenerali nyau..sijui nae yuko wapi siku hizi...hiki kikundi kama ingekuwa sasa hivi tungeambiwa wametumwa na chadema....
mmmmh!mi mgeniSiku hizi wapo upande wa pili, wanaamsha watu..... Ni siri yako, usimwambie mtu.
mmmmh!mi mgeni
Hiki kikundi kilizuka wakati ule kilipotelea wapi? nakumbuka mkuu wao alkuwa anaitwa jenerali nyau..sijui nae yuko wapi siku hizi...hiki kikundi kama ingekuwa sasa hivi tungeambiwa wametumwa na chadema....
Hiki kikundi kilizuka wakati ule kilipotelea wapi? nakumbuka mkuu wao alkuwa anaitwa jenerali nyau..sijui nae yuko wapi siku hizi...hiki kikundi kama ingekuwa sasa hivi tungeambiwa wametumwa na chadema....
arifu ineonekana ulikuwa una nyendo za mlengo wao wale jamaa.......wamepotelea wapi hao seven komando?Na kikundi kingine kiliitwa Seven Komando...
Nakumbuka niliwahi kuhusishwa kuwa ni mmoja wao hadi pale nilipotoa maelezo ya kina na kufanikiwa kuwashawishi polisi na kujisafisha.
Gang Chomba katoka mbali jama dah
usihofukaribu ndugu mgeni, ila utunze siri....
Siku hizi wapo upande wa pili, wanaamsha watu..... Ni siri yako, usimwambie mtu.
Komando Yosso Kiongozi wake alikuwa ni Maneno Maneno au jina la mtaani alijulikana kama "Kontau" na aliuawa na Polisi akiwa nyumbani kwao katika operesheni maalum iliyoendeshwa na wazee wa Mabibo Makutano kwa kushirikiana na wazee wa Manzese kwa Mfuga Mbwa. Kama leo hii angekuwa hai Kontau bila shaka angekuwa ni gwiji la madawa ya kulevya!!