Kofia za karume zaanza kuuzwa Uchinani.

ugaibuni

Member
Jan 5, 2012
15
9
Sijui tuseme ndio urafiki umeshamili au limetokea kwa bahati mbaya. Kwa mara ya kwanza niliona nguo zenye chata ya Tanzania zikiuzwa madukani Uchina ni zile za Kappa. Baada ya muda, nikapita mtaani nikaona wajasiria mali wamefyotoa za kwao ila wamekosea jina, nikasema bora na mimi nijipatie yangu moja kuonesha uzalendo nikagundua jamaa wamekosea jina, badala ya TanzanIa wao wameandika TanzanLia, ndio hivyo walenga walisema kazi ya mikono....

karume.jpg

Upande wa mbele wa kofia ya karume kama ilivyokutwa na mdau wa kidarubini

Katika sherehe ya muungano tukiwa katika kubadirishana mawazo na mdau wa Blog ya Kidarubini, aliniambia kuwa ameona kofia za karume mtaani, nikadhani ni uzushi kwakuwa mara nyingi tumezoea kupiga matani, akasisitiza na kusema atanitumia picha. Leo asubuhi bila hiyana nimepata picha zikionesha kofia ya Rais mstaafu wa visiwani ikiwa sokoni, tena ni kofia ya kampeni, lol. Sasa swali nnalojiuliza ni imekuwaje hapa, je ni zile zilizobaki wakati wa kampeni? Ila kampeni ilikuwa ni miaka saba iliyopita. Nimekosa jibu hivyo napenda kuwauliza wana Ughaibuni munalionaje hili?
kofia.jpg

Kofia ya karume ikiwa sokoni, bei ni yuan 10 ambayo ni sawa na shilingi 2600 ya bongo.

Source: Ughaibuni.com
 
Sijui tuseme ndio urafiki umeshamili au limetokea kwa bahati mbaya. Kwa mara ya kwanza niliona nguo zenye chata ya Tanzania zikiuzwa madukani Uchina ni zile za Kappa. Baada ya muda, nikapita mtaani nikaona wajasiria mali wamefyotoa za kwao ila wamekosea jina, nikasema bora na mimi nijipatie yangu moja kuonesha uzalendo nikagundua jamaa wamekosea jina, badala ya TanzanIa wao wameandika TanzanLia, ndio hivyo walenga walisema kazi ya mikono....

karume.jpg

Upande wa mbele wa kofia ya karume kama ilivyokutwa na mdau wa kidarubini

Katika sherehe ya muungano tukiwa katika kubadirishana mawazo na mdau wa Blog ya Kidarubini, aliniambia kuwa ameona kofia za karume mtaani, nikadhani ni uzushi kwakuwa mara nyingi tumezoea kupiga matani, akasisitiza na kusema atanitumia picha. Leo asubuhi bila hiyana nimepata picha zikionesha kofia ya Rais mstaafu wa visiwani ikiwa sokoni, tena ni kofia ya kampeni, lol. Sasa swali nnalojiuliza ni imekuwaje hapa, je ni zile zilizobaki wakati wa kampeni? Ila kampeni ilikuwa ni miaka saba iliyopita. Nimekosa jibu hivyo napenda kuwauliza wana Ughaibuni munalionaje hili?
kofia.jpg

Kofia ya karume ikiwa sokoni, bei ni yuan 10 ambayo ni sawa na shilingi 2600 ya bongo.

Source: Ughaibuni.com

KWANZA KABISA NGOJA NITENGENEZE SCENARIO

PANASOMEKA "KUI SHUAI, MAOZI 10 YUAN YI DING" KUI MAANA YAKE NI KULA HASARA ,HIVYO BASI PANAMAANISHA NAUZA KWA HASARA KILA MOJA NI YUAN KUMI, IKIMAANISHA KUWA, KOFIA HIZO SIO ZA HIVI KARIBUNI NDIO MAANA ANAUZA KIHASARA ILIMRADI ZIISHE ASIZITUPE:lol:, PIA MDAU HAJATUAMBIA HIYO PICHA IMEPIGWA LINI, INAWEZEKANA ILIPIGWA MIAKA ILIYOPITA, PIA KARIAKOO KUNA WACHINA WENGI, PICHA INAWEZA KUPIGWA KARIAKOO PIA, AU MDAU ALITOKA ZAKE BONGO KAJA GUANGZHOU KUTAFUTA MZIGO NA AKALETA HIYO KOFIA KWA MCHINA ILI ATENGENEZEWE KAMA HIZO AKALE DEAL BONGO, NA HIYO ALIIDONDOSHA TUU MEZANI KWA MCHINA NA AKAPIGA PICHA KAZUSHA ETI ZINAUZWA CHINA, INA MAANA HIYO ILIKUA MOJA TUU KATI YA NYINGI TOFAUTI?


KUHUSU PAMBA ZA KAPPA, ZIMEANDIKWA TANZANILA, INAWEZEKANA KWANI HAPA CHINA KUNA NOKLA PHONES PIA NA SIO NOKIA, UKIONA HIVYO SASA KAMA ALIVYOSEMA MDAU FLANI KWA MR MITHUPU AKA MICHUZI, WA GLOB YA JAMII, CHINA KUNA BEI TATU NA UBORA WA AINA TATU, HIVYO ILIYOANDIKWA TANZANLIA NI YA UBORA WA MWISHO (NO 3)


NILIPITA DUKA FLANI NAQ KAONA PAMAB NZURI ZA KAPPA ORIGINAL ZENYE MAJINA MBALIMBALI KAMA JAMAICA, USA, TANZANIA, NA ZA BONGO ZINAONEKANA HIVI



K2103WT106-699_1.jpg

K2103TC149-699_1.jpg

K2103TD142-699--.jpg


K2103TD141-823--.jpg


uuu.jpg


K8103BS301-333_a.jpg


K5103MM315-603_F.jpg


1hhfhdfsh.jpg


K2103TC150-699_1.jpg


K2104MT488-242_1.jpg
 
Kweli nimewakubali waChina ni kiboko.. Hawadharau hata biashara iwe inahusu taifa dogo kiasi gani!
big up Ndinda kwa kutujuza zaidi...
Kweli JF ni serikali mbadala,na tumetimia kila idara na kila mahali..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom