Kofia za CCM na CHADEMA wizi mtupu

Zhu

Senior Member
Sep 26, 2010
184
24
Wanasiasa wakiwa wanaponda sare za sisiem kuwa ni rushwa nimegundua kuwa pia vyama vyote viko kwenye harakati za kutafuta sare zifike kwa wanachama wote. tlp, cuf, chadema n.k nimeona kama muelekeo ni huo huo wa rushwa ya kanga, kofia, magwanda, mashati, n.k. Tumwamini nani? Mikutano mingi, makongamano yamepamba moto. Wananchi tukae tufanye kazi tuache bla bla. Hii si nchi ya kijamaa tena kuwa utategemea serikali ikusaidie. Tafakari
 
Wananchi tukae tufanye kazi tuache bla bla. Hii si nchi ya kijamaa tena kuwa utategemea serikali ikusaidie. Tafakari

Serikali kutoa umeme unaotosha, kuhakikisha wazee wanapata pensheni, watoto wanakwenda shule, afya ya uhakika sio msaada ni wajibu..., Nchi za wenzetu kama hauna kazi serikali inakupa pesa za kujikimu pamoja na kukutafutia nyumba...., Jamani wakati umefika kujua majukumu ya serikali....., na hiyo pesa serikali haichimbi kutoka shimoni ni kodi yetu...
 
wananchi tukae tufanye kazi.........kazi gani? Kilimo chetu kinategemea mvua, mvua hakuna! Zaidi ya asilimia 80 wanategemea kilimo unataka wafanye kazi gani badala ya kuhudhuria makongamano? Ni jukumu la serikali kuweka mfumo utakaowawezesha wananchi kufanya kazi.......kazi kubwa ya wananchi ni kilimo!
 
Watu wengine bwana wamebaki kuwa wabinafsi,kila mtu anajua inasemekana nchi asilimia 80% ni wakulima pamoja na kulijua hilo unakuja unakuja na hoja nyepesi ambapo unajua kwa dhati hata ardhi imeporwa na genge la wawekezaji na hao unaowatetea ambao wamehodhi ardh kubwa ambazo hata wengine hawazitumii.Mtu huyu ambaye hata elimu amenyimwa ardh yake ameporwa unasema tufanye kazi,kazi gani labda tuanze wizi kuwaibia ili turejeshe mlichopora.Hamna huruma,endelea kushiriki dhambi ya wiz kwa kuwapigie debe mafisadi.
 
Wanasiasa wakiwa wanaponda sare za sisiem kuwa ni rushwa nimegundua kuwa pia vyama vyote viko kwenye harakati za kutafuta sare zifike kwa wanachama wote. tlp, cuf, chadema n.k nimeona kama muelekeo ni huo huo wa rushwa ya kanga, kofia, magwanda, mashati, n.k. Tumwamini nani? Mikutano mingi, makongamano yamepamba moto. Wananchi tukae tufanye kazi tuache bla bla. Hii si nchi ya kijamaa tena kuwa utategemea serikali ikusaidie. Tafakari

Kwani umeambiwa na wao watawagawia watu ili wajiunge???Au ili wanachama wanaozihitaji wazipate???Usiwe mzito sana wa kufikiri!!!

Yani kwa akili yako yote unaona watu wanapoenda kwenye mikutano inayohusu ukombozi wa nchi ni blah blah???Kweli wewe ni ZhuMBUKUKU!!Hata siku moja serikali haisaidii wananchi ila inawatumikia.
 
Wanasiasa wakiwa wanaponda sare za sisiem kuwa ni rushwa nimegundua kuwa pia vyama vyote viko kwenye harakati za kutafuta sare zifike kwa wanachama wote. tlp, cuf, chadema n.k nimeona kama muelekeo ni huo huo wa rushwa ya kanga, kofia, magwanda, mashati, n.k. Tumwamini nani? Mikutano mingi, makongamano yamepamba moto. Wananchi tukae tufanye kazi tuache bla bla. Hii si nchi ya kijamaa tena kuwa utategemea serikali ikusaidie. Tafakari
Nchi hii imekuwa ngumu sana kutawalika yaani hapa sijui cha muhimu ni nini kila kinachofanywa ni ufisadi tu na utawala wa mabavu sijui sasa hata tufanye nini wananchi tukichagua viongozi tunachakachuliwa
 
Wanasiasa wakiwa wanaponda sare za sisiem kuwa ni rushwa nimegundua kuwa pia vyama vyote viko kwenye harakati za kutafuta sare zifike kwa wanachama wote. tlp, cuf, chadema n.k nimeona kama muelekeo ni huo huo wa rushwa ya kanga, kofia, magwanda, mashati, n.k. Tumwamini nani? Mikutano mingi, makongamano yamepamba moto. Wananchi tukae tufanye kazi tuache bla bla. Hii si nchi ya kijamaa tena kuwa utategemea serikali ikusaidie. Tafakari

Hii analysis ya CCM hapa wanaona hawa aminiki na rushwa zimejaa kwenye chama cha vichaa, wanataka Tiafa zima lionekane kama wao. Realy Realy Taifa lote lipo kama nyie. Kweli wewe uliandika haya una matatizo makubwa...
 
Wanasiasa wakiwa wanaponda sare za sisiem kuwa ni rushwa nimegundua kuwa pia vyama vyote viko kwenye harakati za kutafuta sare zifike kwa wanachama wote. tlp, cuf, chadema n.k nimeona kama muelekeo ni huo huo wa rushwa ya kanga, kofia, magwanda, mashati, n.k. Tumwamini nani? Mikutano mingi, makongamano yamepamba moto. Wananchi tukae tufanye kazi tuache bla bla. Hii si nchi ya kijamaa tena kuwa utategemea serikali ikusaidie. Tafakari
Amini chichiemu kama mpaka leo hujui wa kumuamini!!!:shock:
 
Wadanganyika tumekwisha. Ukisema ukweli unaokana huna akili. I praise wazungu. Wakamekaa wakaona vyama vingi afrika si tatizo. Wamekuja na njia ya kuondoa vyama tawala vyote ili watutawale vema. We think they love us. They make us a part of comedy. Tafakari
 
Binafsi namheshimu kila mtu, ila sijajuwa nyinyi mliochangia mmetumia vigenzo gani kuchangia thread hii? kwa sababu haieleweki, mtoa mada haeleweki nini alichotaka kukiwasilisha, hata mtoto wa nursery school hawezi kuandika mauzauza kama haya, naomba nieleweke wazi sikosoi kwa mitazamo ya kisiasa bali kitaaluma, huyu mtu anahitaji kwenda evening class. this thread is rubbish to me, westing of our time instead of discusing mandatory issues.
 
serikali kutoa umeme unaotosha, kuhakikisha wazee wanapata pensheni, watoto wanakwenda shule, afya ya uhakika sio msaada ni wajibu..., nchi za wenzetu kama hauna kazi serikali inakupa pesa za kujikimu pamoja na kukutafutia nyumba...., jamani wakati umefika kujua majukumu ya serikali....., na hiyo pesa serikali haichimbi kutoka shimoni ni kodi yetu...

mkuu watu kama hao ambao hawajui kuwa ni wajibu waserikali ndiyo wanaochelewesha ukombozi, wasikusanye kodi basi kama wanadhani ni msaada!
 
Wanasiasa wakiwa wanaponda sare za sisiem kuwa ni rushwa nimegundua kuwa pia vyama vyote viko kwenye harakati za kutafuta sare zifike kwa wanachama wote. tlp, cuf, chadema n.k nimeona kama muelekeo ni huo huo wa rushwa ya kanga, kofia, magwanda, mashati, n.k. Tumwamini nani? Mikutano mingi, makongamano yamepamba moto. Wananchi tukae tufanye kazi tuache bla bla. Hii si nchi ya kijamaa tena kuwa utategemea serikali ikusaidie. Tafakari

Inategemea unapopewa hizo kofia unapokea kwa makubaliano yepi........
 
Wananchi tukae tufanye kazi tuache bla bla. Hii si nchi ya kijamaa tena kuwa utategemea serikali ikusaidie. Tafakari

Serikali kusaidia si fadhila... wanatumia kodi zetu kufanya hayo tunayotaka wayafanye, wala si fedha zao
 
avator yako tuu inaonyesha ww si mtanzania, hivo huna machungu na nchi na wananchi wake! so shame upon u!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom