Koffi Olomide akamatwa na polisi, tayari kurudishwa kwao

Muwe mnajiongeza kwani nachoka sasa kuwafunueni UFAHAMU wenu MFU kila mara.

https://jamii.app/JFUserGuide you, nimesema siwezi kukuuliza maswali kwa kuwa una akili za kishoga. go back to the fucking comment you just altered....typical faggot
 
**** you, nimesema siwezi kukuuliza maswali kwa kuwa una akili za kishoga. go back to the fucking comment you just altered....typical faggot

Lengo langu limetimia Kwako ambalo lilikuwa tu ni kukuchafua AKILI zako Kisaikolojia uanze " kupovuka " kama hivi. Najiona mshindi.
 
safi sana kama kweli alim-kong fu huyo mdada,.....upo muda ambao ukinichanganya katika bussiness yangu, sitajali status yangu katika jamii,..let whatever come,sitajali wewe ni ME,KE ama both,...beware!..no apology...its better if they are scared of you....these poor talkers.
 
Lengo langu limetimia Kwako ambalo lilikuwa tu ni kukuchafua AKILI zako Kisaikolojia uanze " kupovuka " kama hivi. Najiona mshindi.

Bado haujashinda, you are loosing..!! kuna watu wengi humu ume-mess nao bila wewe kujijua...wait for their retaliation...
 
wewe ni mwanaume mwenye tabia za kike, **** you dude, I Literally think you are the gay and won't come out of the closet Faggot....!!

Halafu gramatically katika English huwa hakuna neno " you are the gay " bali kuna " you are a gay ". Hivi si kila siku humu huwa nawasihi kuwa acheni kujifanya mnajua Kiingereza wakati ukweli ni kwamba hamkijui? Jamani wengine naturally ni WORDSMITHS na hizo lugha tumezizungumza tokea tuko tumboni hadi kubalehe kwetu lakini tunaiona haina maana na siyo tamu kama Kiswahili chetu ambacho binafsi NAKIPENDA na NAKIENZI 24/7. Kwani ungeandika tu kwa Kiswahili bado nisingejua kuwa Wewe ni Msomi?
 
Halafu gramatically katika English huwa hakuna neno " you are the gay " bali kuna " you are a gay ". Hivi si kila siku humu huwa nawasihi kuwa acheni kujifanya mnajua Kiingereza wakati ukweli ni kwamba hamkijui? Jamani wengine naturally ni WORDSMITHS na hizo lugha tumezizungumza tokea tuko tumboni hadi kubalehe kwetu lakini tunaiona haina maana na siyo tamu kama Kiswahili chetu ambacho binafsi NAKIPENDA na NAKIENZI 24/7. Kwani ungeandika tu kwa Kiswahili bado nisingejua kuwa Wewe ni Msomi?

Fag
 
Bado haujashinda, you are loosing..!! kuna watu wengi humu ume-mess nao bila wewe kujijua...wait for their retaliation...

Kupambana na Mimi yakupasa uwe na IQ ya kutosha ambayo nina uhakika hao uliowasema kuwa watarudi kufanya retaliation hawana hizo IQ hivyo utasababisha tu nizidi KUWADHARAU kama nilivyoanza KUKUDHARAU Wewe. Nawasubiri waje na watayapata tu majibu ya " Le Mathematicien " Mimi.
 
Ukishalishwa SUMU ni ngumu mno kukutoka katika Kichwa chako. Kwa mujibu wa TAARIFA kutoka huko huko lilikotokea tukio tena kwa Watu wa kuaminika zinasema kuwa kuna mpango sasa wa kumchafua na kummaliza Koffi Olomide hivyo kuna UMAFIA uliotengenezwa kiufundi kabisa kummaliza ambao umeshirikisha MAADUI zake wakuu Kikazi.

Endelea na endeleeni hivyo hivyo kunipuuza ila mkishaijua michezo ya KIMAFIA mtarudi hapa kunikubali na bahati nzuri mno nimeweza kuweka kila kitu hapo juu katika post yangu juu ya hili tukio na nashangaa tena bado tunataka kubishanga eti kwakuwa tu jana mmelishwa SUMU.

Kaa ukijua kuwa shughuli nyingi za kummaliza Mtu fulani TISHIO au MAARUFU hufanyika kwa URATIBU wa KITAALAM na KABAMBE mno kama ambavyo wengi wetu hadi leo tunajua kuwa Princess Diana alikufa na ile AJALI ya Gari pale Uingereza lakini ukweli baadae ukaja kujulikana kuwa aliuwawa kwa URATIBU wa Shirika la UJASUSI la Uingereza MI5 ambao pia walihakikisha wanacheza Karata zao vizuri sana na Waandishi wa Habari za Matukio ya Mastaa waitwao MAPAPARAZI kisha wakahakikisha pia kuwa katika Media zote za UK kunakuwa na AGENDA SETTING juu ya Kifo cha Princess Diana ili tu kuaminisha UMMA juu ya ile Ajali.

Muwe mnajifunza " kujiongeza " sometimes na msipende kuwa ni Watu tu wa kulishwa kila aina ya UPUUZI kwa gharama za UJUHA wenu. Ungejua competitions ambazo Koffi Olomide anazipata hasa ndani ya DRC wala msingeona kama nimekurupuka kuja na hicho nilichowaletea.
Nilikuwa nakuamini sana GENTAMYCINE lakini umenisikitisha kwa utetezi wako huu Wa kipuuzi. Utasemaje kuna njama wakati video iko clear?
 
Nilikuwa nakuamini sana GENTAMYCINE lakini umenisikitisha kwa utetezi wako huu Wa kipuuzi. Utasemaje kuna njama wakati video iko clear?

Nimetoa hizo TAARIFA kwa very RELIABLE sources wangu walioko huko. Kwani Video ndiyo nini? Mbona wakati wa KAMPENI za Urais nchini Tanzania mwaka jana kuna Chama fulani cha UPINZANI kilitudanganya kwa PICHA zilizotumika nchini Ghana na wakasema ni za Mkutano wao na bado MAJUHA wakawaamini hadi pale UKWELI ulipokuja kujidhihiri? Mkuu SILAHA yangu KUBWA siku zote ni KUJIAMINI na namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa hilo hata hivyo SIJAKULAZIMISHA ukubaliane na nilichokisema isipokuwa KUNIPINGA kwako kumethibitisha dhana nzima ya Mtu INTELLECTUAL kutokubali tu kila kitu pasipo kupinga kwa HOJA.
 
Nimetoa hizo TAARIFA kwa very RELIABLE sources wangu walioko huko. Kwani Video ndiyo nini? Mbona wakati wa KAMPENI za Urais nchini Tanzania mwaka jana kuna Chama fulani cha UPINZANI kilitudanganya kwa PICHA zilizotumika nchini Ghana na wakasema ni za Mkutano wao na bado MAJUHA wakawaamini hadi pale UKWELI ulipokuja kujidhihiri? Mkuu SILAHA yangu KUBWA siku zote ni KUJIAMINI na namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa hilo hata hivyo SIJAKULAZIMISHA ukubaliane na nilichokisema isipokuwa KUNIPINGA kwako kumethibitisha dhana nzima ya Mtu INTELLECTUAL kutokubali tu kila kitu pasipo kupinga kwa HOJA.
Yaani umenifanya nikudharau sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom