glory to yhwh
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 1,025
- 1,385
Ingekuwa bongo sijui ingekuwaje!
Angehukumiwa kifungo cha nje kama yule wa ngumi kule morogoro na show ingeendelea kama kawaida
Ingekuwa bongo sijui ingekuwaje!
Kwani ushahidi si upo wazi kabisaa ameonekana na ulimwengu mzimaa akimnyanyasa mwanamke hadharani kwa kumpiga teke! Au unataka iwe kama mahakama zetu zinazokariri Wimbo mmoja "UCHUNGUZI BADO UNAENDELEA, UCHUNGUZI HAUJAKAMILIKA" hata waliomuua Mwangos walitakiwa kuhukumiwa mapema sana maana kila mtu ameona kilichotoke
Hata hicho ulichokiamini nacho si sahihi pia, amepigwa mcongo, aliyempiga Mcongo mwenzake, Mtanzania umevaa kibwaya kushangilia halafu bado mtashangaa kwa nini bado tupo maskini mpaka leo....!!Inauma sana. Jamani msishangilie sana...kumbe huyu MBWEHA atafungwa MIEZI MITATU tu wala sio MIEZI 18 kama DAILY NATION walivyoandika mwanzo! Halafu hili GAZETI kama la kipuuzi vile...kwanini wanaandikaandika vitu wasokuwa na uhakika navyo? Kwa habari zaidi GONGA HAPA
Kesi ya nini kama ushahidi unajitosheleza? Otherwise ni kufuata taratibu zisizo na tija, maana by all means the end could be the same!Hakuna hata kesi mahakamani?
Ni kutoa amri tu...kamata funga huyo?
Only in Africa!
Mkuu wewe ni ke au me? Unaunga mkono udhalilishaji wa wanawake hadharani?Hata hicho ulichokiamini nacho si sahihi pia, amepigwa mcongo, aliyempiga Mcongo mwenzake, Mtanzania umevaa kibwaya kushangilia halafu bado mtashangaa kwa nini bado tupo maskini mpaka leo....!!
Mkuu, hivyo vifungo laini vipo tanzania tu sio zaire.Angehukumiwa kifungo cha nje kama yule wa ngumi kule morogoro na show ingeendelea kama kawaida
Tena vituko haswaa, hata sura ya mtuhumiwa wa Mauaji kutuonyesha wanamfunika funika tu,Nimesoma kwenye gazeti la mwananchi leo eti aliemuua mwangosi aliua bila kukusudia na bado eti wanajadiliana adhabu ya kumpa
Bongo tuna vituko
kwani wakongo wana jinsia tofauti na watanzania mkuu!? Tunaposema tunapinga unyanyasaji hatuna budi kupinga unyanyasaji wa Dunia nzima, naamini Koffi angempiga mwanaume mwenzie pale pasingetosha wangeburuzana viabayaHata hicho ulichokiamini nacho si sahihi pia, amepigwa mcongo, aliyempiga Mcongo mwenzake, Mtanzania umevaa kibwaya kushangilia halafu bado mtashangaa kwa nini bado tupo maskini mpaka leo....!!
Kweli DRC hakuna ubabaishaji hata Mose Katumbi kahukumiwa ili apate fursa nzuri ya kugombea Urais. Great thinker wa JF katika ubora wako.Kila kitu kina faida na hasara zake, kwa sababu
1. yeye ni mtu maarufu,
2. amefanyia tukio eneo lenye camera
3.mbele ya hadhara yenye ulinzi
4.drc hakuna ubabaishaji wa mahakama
Ndiyo maana Kafungwa,
Watu wanagalagazana hadi kutoana meno hata kesi hakuna,
Ukiwa maarufu, kuwa makini sana maana "umaarufu ni sawa na harufu"
Nilichosema@Matola ni mahakama kutochelewesha kesi tuKweli DRC hakuna ubabaishaji hata Mose Katumbi kahukumiwa ili apate fursa nzuri ya kugombea Urais. Great thinker wa JF katika ubora wako.
Unadhani kila sehemu kama Bongo ambapo ushahidi unaweza kuwepo na mtu anadunda mtaani miaka 20 kwa dhamana akisubiri hukumu kisa tu ana hela ama mnyonge kuozea rumande bila ya hata kupandishwa kizimbani. Japo tunajiita wanademokrasia na watulivu lakini ni fedheha kubwa nchi kama Congo wanapodundana kila siku bado haki ya mnyonge inalindwa.Bado sijaamini hizi habari, labda waandishi wa hili gazeti ndio wale wale. Inakuwaje akamatwe jana leo tu afungwe?
Ingekuwa Bongo ungeona tweets za kina Kigwangala na RC Makonda wakipinga vikali kitendo cha msanii kudhalilisha dancer wake halafu hapo hapo kwenye account zao za Insta ungeona wamepozi na msanii huyo huyo kwenye selfie. Only in TZIngekuwa bongo sijui ingekuwaje!
Kama una akili za kushikiwa ndio utaamini hakuna mtuhumiwa mwenye natural justice.Nilichosema@Matola ni mahakama kutochelewesha kesi tu
mkuu jinsi umeeleza km vle ulipgwa ww ilo teke! hhahahAcha akipate teke la mbavu linauma sana hasa kama ujalitegemea unaweza ukamya pale pale aisee
Kwa hiyo due process haina maana kabisa, siyo?
muulize babu seya.Ingekuwa bongo sijui ingekuwaje!