Ghost
JF-Expert Member
- Apr 20, 2010
- 428
- 53
Wandugu naomba mwongozo, hii biashara ya kulipa kodi mwaka mzima au nusu ilianzaje?
Mbona kazini hatulipwi mishahara ya mwaka...
Mwenye nyumba anataka kodi ya mwaka, mwenye frame ya biashara hivyohivyo, shuleni kwa dogo kadhalika, ila wao kwa installments...
Sasa jamani itakuasje na kila mwaka kodi hizi zinapanda...
Niende kitengo gani niweze kuashitaki niweze kulipa kwa mwezi...
Msaada tafadhali...
Mbona kazini hatulipwi mishahara ya mwaka...
Mwenye nyumba anataka kodi ya mwaka, mwenye frame ya biashara hivyohivyo, shuleni kwa dogo kadhalika, ila wao kwa installments...
Sasa jamani itakuasje na kila mwaka kodi hizi zinapanda...
Niende kitengo gani niweze kuashitaki niweze kulipa kwa mwezi...
Msaada tafadhali...