Kodi ya Gari kutoka UK

Kaka Mpendwa

JF-Expert Member
Jan 10, 2008
772
415
Wadau,

Inawezekana jambo kama hili lilikwisha jadiliwa,kumradhi.

Naomba kupata uelewe juu ya utozwaji wa kodi za magari,nilijitahidi kupitapita website ya TRA, sikufanikiwa kupata majibu ya kuridhisha.

1. Nina gari yangu ninayoitumia hapa abroad, ninahitaji kurudi nyumbani, je mchanganuo wa kodi utakuwaje ( Namaanisha je, wataendelea kuchukua VAT, ama kuna exemption gani (interms of FOB, CIF?) ama vinginevyo?

2. Ni muda gani unahitajika ili gari iweze kufutiwa baadhi ya kodi nitakaileta nyumbani TZ?

Asanteni
 
Nadhani kutoka UK kusafirisha gari ni 2M. kodi ya gari TRA itaategema aina ya gari wao wanabei zao kulingana na CC na bei ya gari uliyonunulia huko.BIll of Lading nk haina tofouti na mtu anaegiza gari Japani.KUna kampuni moja ipo huko inahusika na usafirishaji wa magari ukisoma MIchuzi Blog leo utaiona hiyo kampuni wameweka picha zao.Exemption kama ww ni mfanyakazi wa serikali kuna form utajaza zinatoka TRA then utapeleka kwa mwajiri wako nk then utapata gari lako.Kama umekaa nje kwa muda wa mwaka na kama ww ni mfanyakazi wa serikali utalipia kidogo sana mradi uwe na vielelezo vyote vinavohitajika TRA pale kuna form utapewa hivo ww ukishapaki contena lako nenda bongo mara moja anza process mapema wkt contena likiwa njiwani ili kuepusha kulipa port waiting charges.
 
Back
Top Bottom